Call forwading

Call forwading

mwangwa1209

New Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
2
Reaction score
1
Wakuu naomba kueleweshwa kwa wenye uelewa juu ya hili, nimekuta namba yangu ya simu imewekwa kwenye call forwarding to +255128 & +255121 ilihali sijawahi kumpa mtu simu yangu aishike, mwenye kuzifahahamu hizo namba mbili naomba anisaidie kujua ni za kampuni gani na je inawezekanaje mtu akuwekee hii kitu bila kushika simu yako...

Wenye uelewa juu ya hili naomba mnisadie kujua hii kitu.
 
Wakuu naomba kueleweshwa kwa wenye uelewa juu ya hili, nimekuta namba yangu ya simu imewekwa kwenye call forwarding to +255128 & +255121 ilihali sijawahi kumpa mtu simu yangu aishike, mwenye kuzifahahamu hizo namba mbili naomba anisaidie kujua ni za kampuni gani na je inawezekanaje mtu akuwekee hii kitu bila kushika simu yako...

Wenye uelewa juu ya hili naomba mnisadie kujua hii kitu.
Tusubiri wataalamu wa tech waje mkuu. Nimewahi seat ya mbele nawasubiri.
 
Wakuu naomba kueleweshwa kwa wenye uelewa juu ya hili, nimekuta namba yangu ya simu imewekwa kwenye call forwarding to +255128 & +255121 ilihali sijawahi kumpa mtu simu yangu aishike, mwenye kuzifahahamu hizo namba mbili naomba anisaidie kujua ni za kampuni gani na je inawezekanaje mtu akuwekee hii kitu bila kushika simu yako...

Wenye uelewa juu ya hili naomba mnisadie kujua hii kitu.

Pole Sana Mkuu ,Hiyo ni Missed Call Alert Service.

Means simu yako kama haipo Hewani basi utapata Meseji kwamba kuna mtu fulani mwenye namba hii alikupigia mara kadhaa.

Hiyo ni Default Call Forwarding inawekwa Automatically na Operator ,hakuna hata mtu aliyeshika simu yako na kuiweka.

Kama Hauhitaji unaweza kubadili ku forward kwa namba unayotaka wewe incase your main number is not reachable.
 
Kwanza tujue ni mtandao gani hizo namba!

Usije kuta kolufowadi zina enda zimamoto au tcraa....
 
Pole Sana Mkuu ,Hiyo ni Missed Call Alert Service.

Means simu yako kama haipo Hewani basi utapata Meseji kwamba kuna mtu fulani mwenye namba hii alikupigia mara kadhaa.

Hiyo ni Default Call Forwarding inawekwa Automatically na Operator ,hakuna hata mtu aliyeshika simu yako na kuiweka.

Kama Hauhitaji unaweza kubadili ku forward kwa namba unayotaka wewe incase your main number is not reachable.
Thread closed
 
Kwa siku za karibuni nimekuwa nikipigiwa na nisiowafahamu sekunde 30 hivi wanakata then nikiwapigia utaskia nimekosea namba. Nna hofu na Jambo Hili juzi zimepiga namba 4 Jana 3.
Lakini pia Jana namba flani imeishia 20 imenitumia link flani hivi . Nikatext kuuliza Nini hiki? Unajua akanijibu vipi we Nani?
Baadae akanipigia na kuniambia we Nani, nikamweleza akaniambiaje umekosea namba ( mimi)
 
Pole Sana Mkuu ,Hiyo ni Missed Call Alert Service.

Means simu yako kama haipo Hewani basi utapata Meseji kwamba kuna mtu fulani mwenye namba hii alikupigia mara kadhaa.

Hiyo ni Default Call Forwarding inawekwa Automatically na Operator ,hakuna hata mtu aliyeshika simu yako na kuiweka.

Kama Hauhitaji unaweza kubadili ku forward kwa namba unayotaka wewe incase your main number is not reachable.
Hao wengine achana nao,huyu mkuu kamaliza shida yako
 
Back
Top Bottom