jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,350
Wacha tuone movie inavyoendelea wale ndo dunia
La nne B.... Mnakera sana kwa uandishi huu.
Go back to school, fool!
.Usimnyime haki mtoto bhana mwache naye achangie
na jingine nimeliona"mataira" huandikwa hivi MATAAHIRAinaonekana walimu mpo wengi humu yaani ktk maelezo yote umeona hayo ndio yakuchukua acha ok kila kheri
kwaiyo =kwahiyo.kwaiyo ww ndio mwenye haki ya kuandika ktk ili jukwaa ongera ndugu
ExactlyHuo ni uchungu wa kipigo cha Jemadari D.J.Trump.
Secession in practically improbable and impossible. Fatilia historia ya Marekani hasa baada ya Civil war back in 1861 to 1865 between states. Baada ya hapo kuna solid foundation clauses in their Constitution.
Theoretical,yes but improbable
Ungeandika kiswahili tu,wote tunajua hii lugha ya meli hatuiwezi,si ulimuona hata mkuluThis is begin to falling of the UNITED STATES OF AMERICA na huenda ukawa ndio ule utabiri uliotabiriwa kwenye maandiko ufunuo wa Yohana.
Xx=sasa
Wahandamane=waandamane
Huo ni uchungu wa kipigo cha Jemadari D.J.Trump.
Secession in practically improbable and impossible. Fatilia historia ya Marekani hasa baada ya Civil war back in 1861 to 1865 between states. Baada ya hapo kuna solid foundation clauses in their Constitution.
Theoretical,yes but improbable
Je trump ni kabila la Yuda... just guessing. ushoga pia ni pigo lingine after some years no family.This is begin to falling of the UNITED STATES OF AMERICA na huenda ukawa ndio ule utabiri uliotabiriwa kwenye maandiko ufunuo wa Yohana.
Tulia ujifunze, hii ni JF. Ninakuhakikishia hutatoka kama ulivyoingia.uwa sipendi ligi nimekusikia nitalifanyia kazi
sasa kama wenyewe wanaridhika nao na ndio mfumo walioutumia miaka nenda miaka rudi weye ni nani kuukosoa..??!!Mfumo wa uchaguzi wa Rais wa Marekani ni mfumo wa hovyo sana uliowahi kupata kutokea katika historia ya Demokrasia duniani..!