Calexit: California wants to Separate from the U.S

Calexit: California wants to Separate from the U.S

Huyu jamaa Donald Trump atakuja kupigwa tossed kama ABRAHAM LINCOLN
 
Katika katiba yao kwa kiongozi yoyote akigundulika anamawazo ya kujitenga ni uhaini!!!Na adhabu yake ni kunyongwa!!Sasa sijui ni nani atatoka adharani aseme huo upuuzi.
 
Kama kuna Maandamano basi yawezekana Uchaguzi haukuwa Huru na haki, kwani report ya Waangalizi wa kimataifa wa Uchaguzi imetoka?
 
32c78e0df66406d64a6890a5ccce9fe3.jpg
 
California wamethubutu kujaribu kujitenga na USA wawe na nchi yao, je kule kwenye nchi iliyozungukwa na maji lini watathubutu?
 
Hata kama sio Leo ila IPO Siku U.S.A itadondoka tu come what may!! My wish is for Putin to be alive that day!!
 
Clinton sasa anaanzisha arab springlike movement ndani ya USfurkingA
 
Separatist Movements zilikuwepo,zipo na zitaendelea kuwepo US tangu enzi na enzi....
 
Back
Top Bottom