kumbe ata marekani kuna mataira xx kwann kuna kupiga kura, maana yake kwamba tunachagua mtu kwa matakwa ya walio wengi xx na hao walio chagua trump km hasingepita je ina maana wahandamane, mi naona km wamevurugwa tu na upepo wa trump
dharau na majivuno ni kinga ya udhaifu ulionao unipi tabuLa nne B.... Mnakera sana kwa uandishi huu.
Go back to school, fool!
Democratic wamezoea vitu vya bure republican well Maemo wa nyerere " asiyefanya kazi asile" you have to work hard in USA .Sasa kuna state ambazo zinaitwa sanctuary city .Hizi state huwa Zinapata pesa kutoka serikalini kuficha illegal immigrant sasa Trump alisema akichaguliwa mwisho wa pesa za bure .Mbaya zaidi Repiblican is in controll everywhere sasa hivi wameshindikana congress na White House .Watapitisha bills ZOTE wanazotaka.Obama care trump na republican wataifuta.This is begin to falling of the UNITED STATES OF AMERICA na huenda ukawa ndio ule utabiri uliotabiriwa kwenye maandiko ufunuo wa Yohana.
It will never happens????!!!huu ni uhalifu aisee,si uandike kiswahili tu,unakuwa juma pumba!!!It will never happens under Obama administration....
Labda Trump akishaingia anaweza Fanya uo ujinga.......
Never happen, USA is strongest national in the world.Baada ya matokeo kubainika na Donald Trump kutangazwa kuwa rais wa Marekani ,California ambalo ni jimbo lenye wafuasi wa chama cha Democrats cha Hillary Cliton kimeripotiwa kutaka kujiondoa kama mojawapo ya majimbo nchini Marekani.
Kupitia mitandao ya kijamii wakaazi wa jimbo la Carlifornia wameanzisha kampeni huku katika mtandao wa Twitter kampeni kwa kauli mbiu [HASHTAG]#CalExit[/HASHTAG] kuanzishwa .
Ulijua lini hii au Baada ya Kibogo ya wahamiaji HARAMU kukamata DOLAMfumo wa uchaguzi wa Rais wa Marekani ni mfumo wa hovyo sana uliowahi kupata kutokea katika historia ya Demokrasia duniani..!
Wanaweza kuona mengi ya maana uliyoandika lkn bila kukurekebisha hapo utarudia tena kuandika hizo Herufi zenu za Facebook...inaonekana walimu mpo wengi humu yaani ktk maelezo yote umeona hayo ndio yakuchukua acha ok kila kheri
Ukiona hivyo ujue miHAMIAJI HARAMU huko iko mingi...Huu sasa ni utoto. So na majimbo mengine yasiyomuunga mkono ilifaa yatangaze kujiondoa iwapo angeshinda Clinton?
Unaona hapo umerudia eti ONGERA ...alaaniwe yule jamaa alieleta Div 5kwaiyo ww ndio mwenye haki ya kuandika ktk ili jukwaa ongera ndugu
Anataka umuambie kule kwa Jecha.Usisubiri kutafuniwa Kila kitu umiza kichwa![]()
![]()
![]()
Mlitegemea usimamiwe na watu kama Lubuvamkuu mimi hata mimi siulewi , naonaga mapichapicha
Wanaweza kuona mengi ya maana uliyoandika lkn bila kukurekebisha hapo utarudia tena kuandika hizo Herufi zenu za Facebook...

Unaona hapo umerudia eti ONGERA ...alaaniwe yule jamaa alieleta Div 5
mbavu zangu jamaniLa nne B.... Mnakera sana kwa uandishi huu.
Go back to school, fool!
jamii jmn noma sanaa