kijamaa kinafacebooka bure...Xx=sasa
Wahandamane=waandamane
Mkuu hujajiuliza kwann ni California na siyo majimbo mengineUgumu utatoka wapi wakati anadhibiti mabunge yote? Senate na congress? Wanao piga kelele kujitenga au ni wahamiaji haramu au wahalifu! Demokrasia imefuatwa ameshinda kwenye ballot box kelele za nini? Next chance is after four years?!
It does not make any differenceMkuu hujajiuliza kwann ni California na siyo majimbo mengine
2019 jimbo la California watapiga kura aidha wajitoe au lah..2014 walifanya referendum lkn imesogezwa mpk 2019
2019 watapiga kura
Hili ni suala la muda na kuchaguliwa kwa Trump ndio kumechochea zaidi ..amini 2019 hawa watapiga kura ya kujiondoa
Kwa hiyo walitaka Clinton apewe nchi kwa kuwa tu California walimpigia kura?Mkuu hujajiuliza kwann ni California na siyo majimbo mengine
2019 jimbo la California watapiga kura aidha wajitoe au lah..2014 walifanya referendum lkn imesogezwa mpk 2019
2019 watapiga kura
Hili ni suala la muda na kuchaguliwa kwa Trump ndio kumechochea zaidi ..amini 2019 hawa watapiga kura ya kujiondoa
Wee ni muhangaza????kumbe ata marekani kuna mataira xx kwann kuna kupiga kura, maana yake kwamba tunachagua mtu kwa matakwa ya walio wengi xx na hao walio chagua trump km hasingepita je ina maana wahandamane, mi naona km wamevurugwa tu na upepo wa trump
View attachment 431931
Following the announcement of Donald Trump as the new United States president, thousands on social media platforms have started calling for a “West Coast exit.”
Republican candidate Donald Trump won by 289 points to Democratic contestant Hillary Clinton who received 218 points.
The storm of tweets was triggered by a campaign called Yes California that aims at separating California and declare it an independent country in 2019.
Just like the UK exit from the European Union in June, the Yes California campaign posted a petition on its official website outlining reasons for separation.
“In our view, the U.S. represents so many things that conflict with Californian values,” the petition read. “Our continued statehood means California will continue subsidizing the other states to our own detriment, and to the detriment of our children.”
According to the campaign, California’s basic public services and infrastructure had been deteriorating at the cost of subsidizing other states. However, the separation is more than just that.
“We believe California exerts a positive influence on the rest of the world, and California could do more good as an independent country than it is able to do as a just a U.S. state.”
California, Nevada, Oregon, and Washington State, were among the states won by Clinton. Following the results, the campaign has gained more momentum with more people from the aforementioned states pushing for a similar exit to form an independent “West Coast Nation.”
Using the hashtag of WestCoastNation and Calexit thousands have objected the elections results. “We will build our own wall to keep you out. A new nation will rise,” said one user on twitter.
Source: Morocco News
Hizo ni bible college, lakin kimaandiko Mpinga kristo hatatokea russia, nikosoe kwa nukuuNa mpinga Kristo Russia itatawala dunia.
Ni wapuuzi..Trump.kachaguliwa na watu kama wao na ki demokrasia!!kwenye uchaguzi lazima kutakua na mshindi na mshindwa! Wanalialia nn si waisome tu namba kwa miaka minne hiyo! wao wakitaka wahame nchi thas it