Barya
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 949
- 1,196
Naanza kwa kusema kuwa mi ni mwanachama wa CCM tokea mwaka 2002 na mwanachama hai kabisa,
Usomaji wa namba huu unatuumiza watu wengi sana tena ambao ni wachanga katika biashara, binafsi sipendezwi na jinsi mtu anavyokamuliwa hela ya kutosha hasa kama unaingiza vitu kutoka nje, sijapenda kabisa
1. Pale airport dar es salaam, mtu ukiwa na mzigo wa sh 38,000,000 kodi ya kutozwa ni zaid ya milion 10 hela ambayo nimekuwa nikitozwa mpaka kushangaa, hii inaumiza sana , maana ukamuaji huu umepitiliza sasa,
Nina evidence za kutosha, jana mzigo umekuwa cleared airport, thaman yake ni sh 62,500,000 lakin nashangaa nimetozwa hela 43% kama malipo ya hapa na pale, TBS 15% TRA 18% Sijui cargo clearance fee asilimia kadhaa, sijui argent fee, jumla nimelipa ths 26,300,000 sasa hapo tunaumizana sasa vitafutwe vyanzo vingine tofauti na kubana sisi ambao ndo tunaansa alafu mnatukamua, pia sitaki kutaja mazingira mengine yalotokea pale ya kitu kidogo maana nikiwataja watashindwa kunipitishia mzigo Wangu tena na saa nyingine kubambikiwa kesi ya madawa au nyara za serikali
Tunaingizwa hasara sana, maana mpaka sasa mizigo yangu imekwama, na mbaya zaid storage fee unaendelea kuwa kubwa kisa kodi zisizo eleweka,
Mi naona wangekuwa waungwana tu
Kwa trend hii naona mheshiniwa BADO ANA KAZI KUBWA YA KUFANYA KUVUMBUA VYANZO VINGINE VYA KODI, japo nasisi inabidi kulipa kodi stahiki,
Usomaji wa namba huu unatuumiza watu wengi sana tena ambao ni wachanga katika biashara, binafsi sipendezwi na jinsi mtu anavyokamuliwa hela ya kutosha hasa kama unaingiza vitu kutoka nje, sijapenda kabisa
1. Pale airport dar es salaam, mtu ukiwa na mzigo wa sh 38,000,000 kodi ya kutozwa ni zaid ya milion 10 hela ambayo nimekuwa nikitozwa mpaka kushangaa, hii inaumiza sana , maana ukamuaji huu umepitiliza sasa,
Nina evidence za kutosha, jana mzigo umekuwa cleared airport, thaman yake ni sh 62,500,000 lakin nashangaa nimetozwa hela 43% kama malipo ya hapa na pale, TBS 15% TRA 18% Sijui cargo clearance fee asilimia kadhaa, sijui argent fee, jumla nimelipa ths 26,300,000 sasa hapo tunaumizana sasa vitafutwe vyanzo vingine tofauti na kubana sisi ambao ndo tunaansa alafu mnatukamua, pia sitaki kutaja mazingira mengine yalotokea pale ya kitu kidogo maana nikiwataja watashindwa kunipitishia mzigo Wangu tena na saa nyingine kubambikiwa kesi ya madawa au nyara za serikali
Tunaingizwa hasara sana, maana mpaka sasa mizigo yangu imekwama, na mbaya zaid storage fee unaendelea kuwa kubwa kisa kodi zisizo eleweka,
Mi naona wangekuwa waungwana tu
Kwa trend hii naona mheshiniwa BADO ANA KAZI KUBWA YA KUFANYA KUVUMBUA VYANZO VINGINE VYA KODI, japo nasisi inabidi kulipa kodi stahiki,