CAG: NHIF ilitoa mkopo kwa Serikali bila nyaraka wala dhamana ya mkopo

Hivi hizi report za CAG akishazitoa baada ya hapo nini kinachofuata? Maanake madudu ni mengi sana...

Watu tunashurutishwa kulipa kodi kila siku, makadirio juu... Ukichelewa fine... Lakini inasikitisha sana pesa zinapokwenda hatumiwa kiujanja ujanja..


Kama mkopo umetolewa bila nyaraka na makubaliano maana yake hizo pesa nyingi zimeleliwa na wachache..


Inasikitisha sana..


Cc: mahondaw
Hivi CAG hakupita wizara ya ujenzi? Au ule ujumbe wa "not to that extent" ulimpata sawia?
 
Mfuko wa Bima ya Afya wao wanaweza kukukata hata miaka kumi,hawahangaiki kujiuliza mteja wao fulani mbona hana kitambulisho/hatujawahi kumpa?

Nadhani hawana hata database ya watu waliowahi kuwa na vitambulisho wakawatambua,na baadae wakawajua watu ambao hawajawahi kuchukua kitambulisho ili watu wa customer care wawa trace,ofisi zao za mikoani nyingi ni kama mapagala tu,hovyohovyo,hazijitegemei kila kitu mpaka wakwambie wanawasiliana na makao makuu
mkuu nitajie huo mkoa
 
Kama ni kweli NHIF walitoa pesa kwa serikali bila mkataba or rather any written document popote basi kuna possibility kubwa hapo kuna wapigaji wamekula chao.
Na simple logic ya kuwepo wapigaji ni kuja ku~exaggerate the exact amount na si vinginevyo.
Jambo la muhimu hapa ni haya mashirika ya jamii kufanya kazi zake ilizokusudiwa iachane na haya makando kando
 
Kama ni kweli NHIF walitoa pesa kwa serikali bila mkataba or rather any written document popote basi kuna possibility kubwa hapo kuna wapigaji wamekula chao.
Na simple logic ya kuwepo wapigaji ni kuja ku~exaggerate the exact amount na si vinginevyo.
Jambo la muhimu hapa ni haya mashirika ya jamii kufanya kazi zake ilizokusudiwa iachane na haya makando kando
Hapo manyoya tu yamebaki
 
Kweli hii nchi tatizo ni kubwa kuliko tunavyodhani!! Hata SACCOS zetu mtaani hazina ujinga huu japo zinakopesha hadi 50000
 
View attachment 497459
Hii kitu ilisemwa sana Bunge la bajeti 2015,kwamba mifuko ya jamii pamoja na mfuko wa Afya wa Taifa.Taasisi hizi zimekuwa kama "zinatapanya" michango ya wanachama wake bila taarifa rasmi kwa wadau.

Mifuko ya hifadhi ya jamii imekuwa inatumia pesa kujenga miradi mikubwa na faida yake haionekani kwa wachangiaji,matokeo yake kwa sasa mifuko mingi imekuwa na ukata mkubwa sababu serikali baada ya kukopa imeshindwa kulipa deni.

Kwa sasa baadhi ya hospitali za binafsi zinagoma kupokea kadi za NHIF sababu wanacheleweshewa malipo yao na hivyo kuwa na malimbikizo ya deni,hali hii inatokana na NHIF kukabiliwa na ukata sbb ya kuikopesha serikali.

NHIF extend loan to UDOM without proper documentation

National Health Insurance Fund (NHIF) advanced a loan of Sh44.29 billion to the University of Dodoma (UDOM) to construct a Medical Centre without a written documents, the Controller and Auditor General (CAG) has found out.

It was established in an audit for the year which ended June 2015/16 that there were neither written agreement between the two institutions nor a Government guarantee for the said loan

. NHIF extend loan to UDOM without proper documentation

Chanzo:Gazeti la The Citizen
pamoja na madudu yote haya yule jamaa yenu bado munamiss kweli? watanzania bado ipo shida akilini mwetu.
 
Kweli hii nchi tatizo ni kubwa kuliko tunavyodhani!! Hata SACCOS zetu mtaani hazina ujinga huu japo zinakopesha hadi 50000
haya matatizo JPM ndio anahangaika nayo, bado kunawajinga wanampigia makofi yule jamaa na kumlike kule insta.
 
pamoja na madudu yote haya yule jamaa yenu bado munamiss kweli? watanzania bado ipo shida akilini mwetu.
Hawa-mmiss kwa madudu haya bali kwa ulinganisho na hali iliyopo hasa kwenye kusema kila wanachotaka kusema bila ya kuingiliwa na dola!!
 
Back
Top Bottom