CAG: NHIF ilitoa mkopo kwa Serikali bila nyaraka wala dhamana ya mkopo

Kuna madai kwamba hata wafanyakazi hewa "waliwekwa" kukisaidia kifedha Chama fulani chenye watumishi weeeengi lakini hakiwezi kuwalipa,kwa hiyo ilikuwa weka hewa huku,chukua kalipe kule
Hii inawezekana. Bahati mbaya sasa JPM either hakuambiwa hii kitu au amejitoa ufahamu. How come report ya forged certificates inachukua miaka miwili kukamilika after sending out verification teams more than three times?

Sijui "wataiba" wapi kwenye campaigns za 2020. Ila jamaa wale mafundi sana na watapata mbinu tu.
 
Hill jiko la kuni bila kuchochea chakula hakiivi,kuni zisizowaka zina tabia ya kuumiza macho kwa moshi wake mkali

Kuni zilizowekwa mbichi sijui kama chakula kitaiva na hawataki uweke kumi kavu.Na gas imechukuliwa na wenyewe aka wachina
 
Hii inawezekana. Bahati mbaya sasa JPM either hakuambiwa hii kitu au amejitoa ufahamu. How come report ya forged certificates inachukua miaka miwili kukamilika after sending out verification teams more than three times?

Sijui "wataiba" wapi kwenye campaigns za 2020. Ila jamaa wale mafundi sana na watapata mbinu tu.

Yupo GSM na wale drug lords wetu walioko SA uko changanya na yule Almas.
 
Tuna bunge ambalo ni kibogoyo kwa msingi ya Katiba ya nchi yetu. Hata kama wabunge wana nia ya kuibana Serikali Katiba inawawekea munda. Kwanza kipengere kinacholazimisha Mbunge kupoteza ubunge wake akitofautiana na chama chake Kifutwe, halafu tuone kama madudu haya yataendelea kujirudia!!

Tatizo kubwa zaidi ni njaa...

Nchini kwetu wabunge wanaganga njaa..ni ajira

sio kama sehemu zingine..ubunge ni utumishi
 
Tunaaminishwa wanaohoji ni wapiga dili na mafisadi waliodhibitiwa
Duuh, utawala huu kaaazi kweli kweli
 
Tatizo kubwa zaidi ni njaa...

Nchini kwetu wabunge wanaganga njaa..ni ajira

sio kama sehemu zingine..ubunge ni utumishi
Kuna yule nilimsikia akiwashangaa wabunge wenzake kuihoji hoji serikali badala ya kuwaza biashara zao bungeni
 
Tatizo kubwa zaidi ni njaa...

Nchini kwetu wabunge wanaganga njaa..ni ajira

sio kama sehemu zingine..ubunge ni utumishi
Tena linapokuja suala la wabunge kuganga njaa usifikiri na wa upinzani hawamo,na wenyewe wako mstari wa mbele kabisa kukinga bakuli wafadhiliwe na Serikali!!
 
Ukiongozwa na CCM unashangaa nini kuona vituko kama hivyo. Tumekubali akili ndogo kuongoza akili kubwa kwa hiyo tuwe wapole tu
 
Yaani kweli unatoa bilioni 44 bila mkataba? Hata mwendokasi Tsh 650 wanatoaga tiketi!!

Kila mwaka wa uchaguzi huja na lake jambo,kipindi kile ulikuwa EPA

Mbaya zaidi sasa hela ziko benki kuu,sijui usalama wake ukoje,napendekeza mifuko ya pensheni iwe inatoa taarifa ya hali yake kifedha kwa wanachama,kila mwezi.

PSPF ni de facto bankrupt,chanzo ni serikali kuikopa usiku na mchana,inadaiwa kwamba PSPF huchelewesha malipo mpaka inabidi siku ya kulipa wamlipe mtumishi na mishahara ya kipindi walichomcheleweshea malipo

Hela za haya mashirika zisikae Benki kuu, hizo sio hela za serikali,ni hela za wachangiaji,zitolewe Mara moja kabla hazijaanza kudokolewa wakalipwa wajenzi wa reli
mkuu umeua haa
 
Hebu tusome kinachofanyika NHIF na tuache blah blah za kusema kuns ubadhirifu.
 

Attachments

  • INVESTMENTS.pdf
    2 MB · Views: 368
Hivi hizi report za CAG akishazitoa baada ya hapo nini kinachofuata? Maanake madudu ni mengi sana...

Watu tunashurutishwa kulipa kodi kila siku, makadirio juu... Ukichelewa fine... Lakini inasikitisha sana pesa zinapokwenda hatumiwa kiujanja ujanja..


Kama mkopo umetolewa bila nyaraka na makubaliano maana yake hizo pesa nyingi zimeleliwa na wachache..


Inasikitisha sana..


Cc: mahondaw
 
Mfuko wa Bima ya Afya wao wanaweza kukukata hata miaka kumi,hawahangaiki kujiuliza mteja wao fulani mbona hana kitambulisho/hatujawahi kumpa?

Nadhani hawana hata database ya watu waliowahi kuwa na vitambulisho wakawatambua,na baadae wakawajua watu ambao hawajawahi kuchukua kitambulisho ili watu wa customer care wawa trace,ofisi zao za mikoani nyingi ni kama mapagala tu,hovyohovyo,hazijitegemei kila kitu mpaka wakwambie wanawasiliana na makao makuu
haaaa saiz wamejirekebisha kidogo.eti mapagala
 
Back
Top Bottom