barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,739
- 32,874
Hii kitu ilisemwa sana Bunge la bajeti 2015,kwamba mifuko ya jamii pamoja na mfuko wa Afya wa Taifa.Taasisi hizi zimekuwa kama "zinatapanya" michango ya wanachama wake bila taarifa rasmi kwa wadau.
Mifuko ya hifadhi ya jamii imekuwa inatumia pesa kujenga miradi mikubwa na faida yake haionekani kwa wachangiaji,matokeo yake kwa sasa mifuko mingi imekuwa na ukata mkubwa sababu serikali baada ya kukopa imeshindwa kulipa deni.
Kwa sasa baadhi ya hospitali za binafsi zinagoma kupokea kadi za NHIF sababu wanacheleweshewa malipo yao na hivyo kuwa na malimbikizo ya deni,hali hii inatokana na NHIF kukabiliwa na ukata sbb ya kuikopesha serikali.
NHIF extend loan to UDOM without proper documentation
National Health Insurance Fund (NHIF) advanced a loan of Sh44.29 billion to the University of Dodoma (UDOM) to construct a Medical Centre without a written documents, the Controller and Auditor General (CAG) has found out.
It was established in an audit for the year which ended June 2015/16 that there were neither written agreement between the two institutions nor a Government guarantee for the said loan
. NHIF extend loan to UDOM without proper documentation
Chanzo:Gazeti la The Citizen