This is a joke, inachukua watanzania wangapi wa kipato cha chini, magari mangapi yapite bandarini hili kupata sh/80bn which is an accounted for huko TANROAD halafu watu waachwe hivihivi.
Watu hawewezi kuwa wanapita wakiwashawishi watanzania walipe kodi kama uzalendo hili hela isaidie jamii directly na miradi ya jamii halafu kuna watu wanaachwa kwa kutumia hovyo kodi za watu ambayo wanadai itasaidia kuendeleza jamii.
Hiyo 80bn ni vitanda vingapi au hospitali ngapi za ngazi ya tarafa kama kuna mtu kweli anakerwa akina mama kulala chini au wawili wawili.
Kuna watu wengi sana wanafuja hela za serikari wakati serikari inalazimisha wananchi kulipa kodi, this is not even a chicken and egg conundrum dhibiti matumizi yako ujue ulipo kabla ya kubuni kodi kwa watu ambao hawana tena cha kutoa bila ya kupunguza their quality of life ingawa unalazimisha.