Michael Chairman
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 922
- 581
msome CAG upya kakuambia kampuni ya awali ilikuwa na uzoefu wa kazi husikaTender inakuwa awarded kwa the lowest evaluated tenderer, nikiwana maana kuwa na lowest tender sum sio kupewa tender bali your tender sum should be still evaluated.
Yawezekana ukipitia tender ya hao wenye gharama ndogo inaweza kuwa na makosa mengine ambayo yakafanya kuliose credibility ya kuwa awarded io contract mfano the price may not be realistic.
Sent from my iPhone using JamiiForums