Kwenye Audit Kuna kitu inaitwa consider the use of work of experts...ndio maana iwe madini,. Matibabu, ukarabati wa ndege, vichekesho, auditor anakagua na ananasa ukweliJamaa huyu kwa kweli hajui mipaka yake....!!??
mambo ya foleni yanaihusu vipi ofisi yake....
hiyo ni kazi ya wataalamu wengine ie Tanroads