kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,810
use differential method to find derivative of your statement.Mkuu reasoning yako inatia mashaka sana, Walikuweopo 2010 ndio hao hao wapo hadi sasa kwa asilimia 99.
Hawa watu wameshindikanaBado kuna juhudi za kukwamisha ripoti hiyo, nimeona mbunge Ally Saleh kaandika kwenye akaunti yake ya Twitter kwamba kuna changamoto kwa wabunge kupata vitabu vyote 17 vya ripoti ya ukaguzi, mwenyekiti wa bunge nyoka wa makengeza amesema kwamba kuna gharama za kutoa nakala hizo ili kupata idadi hiyo ya vitabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado kuna juhudi za kukwamisha ripoti hiyo, nimeona mbunge Ally Saleh kaandika kwenye akaunti yake ya Twitter kwamba kuna changamoto kwa wabunge kupata vitabu vyote 17 vya ripoti ya ukaguzi, mwenyekiti wa bunge nyoka wa makengeza amesema kwamba kuna gharama za kutoa nakala hizo ili kupata idadi hiyo ya vitabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio kashakuwa spika.... until then hatuna choiceSpika yupi unamzungumzia? huyuhuyu hopeless?
Natumia Quadratic method mkuu, usijali.use differential method to find derivative of your statement.