Wanaosimamia VAR ni wanadamu nduguHivi kumbe hii VAR huwa inabagua kwenye uamuzi? Kwanini goli la Esperance leo lionekane ni la offside huku lile la Mamelodi kule SA lilionekana ni goli halali? Ipi ilikuwa ni offside ya wazi kati ya goli lililokubaliwa la Peter Shalulile na hili la Esperance?
Usiseme ni wanadamu tu. Sema ni wanadamu wasenge.Wanaosimamia VAR ni wanadamu ndugu
Nakaza,sababu wasenge wamejigeuza basi wao ni kugeuza kila kitu.Usiseme ni wanadamu tu. Sema ni wanadamu wasenge.
Hivi kumbe hii VAR huwa inabagua kwenye uamuzi? Kwanini goli la Esperance leo lionekane ni la offside huku lile la Mamelodi kule SA lilionekana ni goli halali? Ipi ilikuwa ni offside ya wazi kati ya goli lililokubaliwa la Peter Shalulile na hili la Esperance?
Anaongozwa kimojaHilal ndio kwisha habari yao
Pyramids nao biashara kwishaAnaongozwa kimoja
Pyramids nao biashara kwisha
Umesema kweli Kiongozi. Mamelodi ilibebwa mbele ya Yanga. Wiki iliyopita ilibebwa kwa goli la offside la Peter Shalulile. Leo nao wamefungwa goli la offside na Esperance limekataliwa, ingekuwa ni Mamelodi ndo wamefunga lingekubaliwa.Mamelodi huwa anapendelewa sababu Rais wa Caf ndie mmiliki wa mamelodi
Amebaki sundowns labda atende miujiza
Ohh kumbe 3-4Pyramids aggregate inambeba
Umesema kweli Kiongozi. Mamelodi ilibebwa mbele ya Yanga. Wiki iliyopita ilibebwa kwa goli la offside la Peter Shalulile. Leo nao wamefungwa goli la offside na Esperance limekataliwa, ingekuwa ni Mamelodi ndo wamefunga lingekubaliwa.
Usiku wa ulaya kwa leo imeisha kwa surprise, ngoja turudi huku sasa. Niliona kwenye sofa score kuwa ES Tunis anaongoza, saizi naon 0 0 inekuwaje?
As Far nao kumbe sio wa mchezo, walifanya uzembe tu game ya kwanza. Saizi wanatafute goli la 3 ili wazonge mbele
Kwakwa hiyo Esperance ndo kafa sio?
DahNdio kafa ametolewa