CAF yatoa ranking ya timu Afrika,Simba Baba lao Afrika Mashariki

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,191
103,715
91062146_650108738879839_2739507553602895872_o.jpg


Hiyo ni ranking mpya iliyotoka tarehe 27 March,2020
 
Naomba utujuze nafasi ya Bingwa wetu wa kihistoria Yanga, yupo namba ngapi?. Halafu mbona kama Simba inapendelewa sana na Marefa pamoja na CAF?. Wametumia vigezo gani?. Mwaka huu mnyama si alitolewa first round?. Yanga angalau ilinusa kidogo kuingia group stage, na pia Yanga si ilichezea sharubu za Simba kupitia goli murua la Morson?.
 
Hizi akili za HAJI MANARA huwa mnatembea nazo nyie mikia Fc wote??
Watu tuko kwenye Covid 19 we unatuletea mambo ya Simba?
Sema huwa nakukubali sana kwenye mambo za siasa mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu walaumu CAF kama una hoja....
Wao wametoa ranks sisi mashabiki tunafurahia tu kuwapo kwa timu zetu Kwenye chati.
Hilo ''kosa'' (kama kutoa takwimu wakati wa COVID-19 ni kosa kwa mujibu wa madai yako) basi tuhuma zote zifike pale CAF na sio kwa sisi mashabiki wa Ahly, Esperance, Mazembe, Simba na wengineo
 
Naomba utujuze nafasi ya Bingwa wetu wa kihistoria Yanga, yupo namba ngapi?. Halafu mbona kama Simba inapendelewa sana na Marefa pamoja na CAF?. Wametumia vigezo gani?. Mwaka huu mnyama si alitolewa first round?. Yanga angalau ilinusa kidogo kuingia group stage, na pia Yanga si ilichezea sharubu za Simba kupitia goli murua la Morson?.
labda CAF waweke ranking ya vilabu bora vilalamishi
 
Back
Top Bottom