Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeibua gumzo mitandaoni baada ya kuposti picha ya nyota wa soka Msuva akishangilia bao, ikiambatana na maneno "Sarakasi za kiuhalisia, bila ya nywi nywi wala nywi nywi nywi."
Kauli hiyo ilitolewa na Samia wakati wa kampeni, alipokuwa akionya waandamanaji Oktoba 29, 2025, tukio ambalo baadaye lilihusishwa na hatua za kisheria dhidi ya baadhi ya raia, akiwemo Niffer, waliodaiwa kushitakiwa kwa tuhuma za uhaini.
Soma: Faiza Ally: Niffer amepigwa sana na amechukuliwa na ‘watu wasiojulikana’
Akiwa kwenye Kampeni, Zanzibar, Septemba 20, alisema "Mimi Ndiye amiri jeshi mkuu nayesema hapa, hakutakuwa na nywinywi, Wala nywinywinywi"
Kauli hiyo ilitolewa na Samia wakati wa kampeni, alipokuwa akionya waandamanaji Oktoba 29, 2025, tukio ambalo baadaye lilihusishwa na hatua za kisheria dhidi ya baadhi ya raia, akiwemo Niffer, waliodaiwa kushitakiwa kwa tuhuma za uhaini.
Soma: Faiza Ally: Niffer amepigwa sana na amechukuliwa na ‘watu wasiojulikana’
Akiwa kwenye Kampeni, Zanzibar, Septemba 20, alisema "Mimi Ndiye amiri jeshi mkuu nayesema hapa, hakutakuwa na nywinywi, Wala nywinywinywi"