wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,570
Vyura wanaruka ruka vyura.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mbona kama imekuuma kuliko waliofungwa?? Kwani Simba ikifungiwa si ndo raha kwenu mtacheza na vibonde mwanzo mwisho?usipaniki ndugu tusubiri matokeo ya uchunguzi. Mtani mapenzi yako ya dhati kwa klabu yako sikufanye upaniki kiasi hicho
Draw imepangwa subiri ipite kwanza mechi ya Mazembe ndo mje tena na mengine... Vyura weusi nyinyi!!Kuna mechi Simba walicheza away huko Swaziland Haji Manara aka posti kwamba alikua ana linda changing room wasipulize dawa leo hii wao wana tuhumiwa na hii tabia, anyway acha tuone yata kwenda vipi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kweli kabisa kwenye akili yako unafikiri Simba walipuliza sumu? Zahera katusaidia Sana Wana Simba tumshukuru kwani kawatoa mchezoni wacongo wenzake...Simba hawana ujanja wakupuliza sumu vyumba ni labda useme walichoma udi katika vyumba vya kubadirishia nguo ambazo hizo ni Zile Tamaduni zetu za Waafrica katika swala la kutiana hofu Kama unavyoiona picha zingine zinaonyesha Kiongozi was As Vita anasaidia kumwagia uwanja na kufikia nyasi...hiyo sumu haiwezi ikathibitishwa kwenye maabara yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooooo !!!CAF opened an investigationI Against simba.
watani kunani huko kwenu mbona mnachunguzwa