Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 2,246
- 7,112
Simba imefanikiwa kuzima njama za kuhamishia Amani mchezo wa fainali badala ya Kwa Mkapa.
CAF imerudisha mechi hiyo Kwa Mkapa. Sasa fainali itapigwa 25 -5- 2025 kwa Mkapa.
Clecentius Magoli apewe Maua yake Kwa kujibu kwa nguvu njama hizo na hatimae uongozi wa CAF kuogopa na kuurudisha mchezo huo kwa Mkapa.
Ukisikia Simba ya Kimataifa ndio hii,Simba imekomaa mno,Simba ni kubwa mno,Simba haijaweza kutolewa mchezoni.
Huu nao ni ushindi mwingine Kwa Simba. Figisu nyingi zitakuja nazo zitazimwa..
Mwishoni mwa barua ya Magori aliandika tunajua nani Yuko nyuma ya hili, hapa akimwelekezea kidole Rais wa RS Berkane kua ndio amechonga fitina hizo,ambae poa ni makamu Rais wa CAF.
CAF wamelegea naechi ni Kwa Mkapa.
Hata hivyo Simba ni wakomavu sana hawakua na munkari pale waliposema wao wanafokasi na mchezo wa kwanza ,mambo ya uwanja watazungumzia baada ya mchezo wa Morocco.
Vurugu hizi zote inaonesha Berkane wameiogopa Simba na wanapaogopa kwa Mkapa.
Kwa kifupi Berkane atachinjiwa hapo,kwa Mkapa hatoki.
CAF imerudisha mechi hiyo Kwa Mkapa. Sasa fainali itapigwa 25 -5- 2025 kwa Mkapa.
Clecentius Magoli apewe Maua yake Kwa kujibu kwa nguvu njama hizo na hatimae uongozi wa CAF kuogopa na kuurudisha mchezo huo kwa Mkapa.
Ukisikia Simba ya Kimataifa ndio hii,Simba imekomaa mno,Simba ni kubwa mno,Simba haijaweza kutolewa mchezoni.
Huu nao ni ushindi mwingine Kwa Simba. Figisu nyingi zitakuja nazo zitazimwa..
Mwishoni mwa barua ya Magori aliandika tunajua nani Yuko nyuma ya hili, hapa akimwelekezea kidole Rais wa RS Berkane kua ndio amechonga fitina hizo,ambae poa ni makamu Rais wa CAF.
CAF wamelegea naechi ni Kwa Mkapa.
Hata hivyo Simba ni wakomavu sana hawakua na munkari pale waliposema wao wanafokasi na mchezo wa kwanza ,mambo ya uwanja watazungumzia baada ya mchezo wa Morocco.
Vurugu hizi zote inaonesha Berkane wameiogopa Simba na wanapaogopa kwa Mkapa.
Kwa kifupi Berkane atachinjiwa hapo,kwa Mkapa hatoki.