Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
mpaka sasa haukuna kituo cha hapa nchini kilichojinasibu kuonyesha,kuna vituo nane vya misri vitaonyesha japo haviwekwa wazi na uongozi wa yanga umetuahidi kutuwekea link ili tufuatilie kwa internet,' KIDUMU CHAMA CHA YANGA'.
nilesports.com Live Al Ahly vs Young Africans | CAF Champions League 2014Hii mechi ya leo, kituo gani cha television kitaonyesha hii mechi
Kila la kheri yanga
JF TV tutakua live hapa.
We mwambie shemeji leo asikubugudhi kabisaaaaa!
Fundi mitambo wangu Makoye Matale na ACCOUNT FULL natumai tutakua pamoja hapa huku wachambuzi wetu studio Masuke Ndetchia watakua wakichambua mechi hii bila kuegemea upande wowote.
mpaka sasa haukuna kituo cha hapa nchini kilichojinasibu kuonyesha,kuna vituo nane vya misri vitaonyesha japo haviwekwa wazi na uongozi wa yanga umetuahidi kutuwekea link ili tufuatilie kwa internet,' KIDUMU CHAMA CHA YANGA'.
nilesports.com Live Al Ahly vs Young Africans | CAF Champions League 2014
Nile Sports Live TV | Egyptian Television online | Live from Cairo
[TABLE="class: infoTable"]
[TR]
[TD="class: infoName, align: right"]Kick Off:[/TD]
[TD="class: infoValue, align: left"]17:00 GMT (SAA 2 USIKU KWA SAA ZA TZ)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Mechi saa ngapi kwa EAT?
hahaa shemeji yako leo hayupo so hakuna wa kunibugudhi
hiyo team imekaa poa sana
tutafatilia mwanzo mwisho,niko humu ndani............
Mechi saa ngapi kwa EAT?
saa Mbili kama sijakosea
asante mdau.............
Utabiri wangu.
FT:Al Ahly2-2Yanga.
Matokeo ya jumla:Al Ahly2-3Yanga.
.JF TV tutakua live hapa. We mwambie shemeji leo asikubugudhi kabisaaaaa! Fundi mitambo wangu Makoye Matale na ACCOUNT FULL natumai tutakua pamoja hapa huku wachambuzi wetu studio Masuke Ndetchia watakua wakichambua mechi hii bila kuegemea upande wowote.
Na yanga ikishinda tu na kumtoa muarabu tutegemee machafuko makubwa pale kwenye msongamano lile vuguvugu la rage na simba lazima liibuke.teee.......teeeee.,...teeeee..
pamoja mkuu..leo vijana hawatatuangusha, japo tutapoteza wadau humu kwa muda.
Kama kawa kama dawa,leo lazima waarabu wakae,na hiki hapa ndicho kikosi kitakachoanza kuwaua waarabu leo,Niyonzima ni mgonjwa nadhani ata kwenye bench hatakuwepo.
Line up:Yanga.
1.Deo Munishi
2.Twite Mbuyu
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub
5.Kelvin Yondani
6.Frank Domayo
7.Saimon Msuva
8.Mrisho Ngasa
9.Didier Kavumbagu
10.Emmanuel Okwi
11.Hamisi Kiiza
JF TV tutakua live hapa.
We mwambie shemeji leo asikubugudhi kabisaaaaa!
Fundi mitambo wangu Makoye Matale na ACCOUNT FULL natumai tutakua pamoja hapa huku wachambuzi wetu studio Masuke Ndetchia watakua wakichambua mechi hii bila kuegemea upande wowote.
Walisha anza kukuangusha dar huko usitegemee jipya mkuu.we lala mapema hauna haja ya kupoteza usingizi ukiiombea mabaya yanga.Alyahil msiniangushe
fanyen kwel
Utabiri wangu.
FT:Al Ahly2-2Yanga.
Matokeo ya jumla:Al Ahly2-3Yanga.