CAF Champions League

Ee Mungu ondoa aibu kwa Taifa hili....Maana Yanga wakiingia 16 bora tutapa aibu kubwa sana....

Al-Ahaly piga hao Yanga utuondolee aibu...Waishie hapo hapo Misri..

Wewe unajua nina majonzi hapa, hebu acha wanga wako. Hiyo aibu itakuwa yako yetu Yanga? endelea kuishabikia timu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…