Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Mar 9, 2014 #1,001 Kitoabu said: Lakini mmekazaa!!!!! Click to expand... washatubutua
data JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 26,943 Reaction score 23,884 Mar 9, 2014 #1,002 Heaven on Earth said: Kwa hiyo matokeo yakiwa hivi hadi dk 90 zitapigwa penalty? Click to expand... jibuni haraka swali hli
Heaven on Earth said: Kwa hiyo matokeo yakiwa hivi hadi dk 90 zitapigwa penalty? Click to expand... jibuni haraka swali hli
Revolution JF-Expert Member Joined Feb 28, 2008 Posts 1,420 Reaction score 1,739 Mar 9, 2014 #1,003 Poa basi mimi nitakuja huko around mwisho wa march i dont want to cause any trouble for you because i love you and i care for you babylove
Poa basi mimi nitakuja huko around mwisho wa march i dont want to cause any trouble for you because i love you and i care for you babylove
M mokala1989 JF-Expert Member Joined May 4, 2013 Posts 2,236 Reaction score 730 Mar 9, 2014 #1,004 heaven on earth said: yeah tumejitahidi sana tu Click to expand... nafikiri tutaenda kwenye matuta
Walid Consciouz Member Joined Mar 7, 2014 Posts 12 Reaction score 0 Mar 9, 2014 #1,005 Uyo anaesema ni 4-0, aache utoto hapa sio mahala pake mzee, Yanga tupo nyuma kwa Goli moja Sent from my iPhone using JamiiForums
Uyo anaesema ni 4-0, aache utoto hapa sio mahala pake mzee, Yanga tupo nyuma kwa Goli moja Sent from my iPhone using JamiiForums
utafiti JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 12,783 Reaction score 7,671 Mar 9, 2014 #1,006 Wataongeza 30 minutes
Yericko Nyerere JF-Expert Member Joined Dec 22, 2010 Posts 17,018 Reaction score 20,489 Mar 9, 2014 #1,007 Revolution said: Poa basi mimi nitakuja huko around mwisho wa march i dont want to cause any trouble for you because i love you and i care for you babylove Click to expand... Duuuuh
Revolution said: Poa basi mimi nitakuja huko around mwisho wa march i dont want to cause any trouble for you because i love you and i care for you babylove Click to expand... Duuuuh
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Mar 9, 2014 #1,008 Dk 5 zinaongezwa dah
data JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 26,943 Reaction score 23,884 Mar 9, 2014 #1,009 utafiti said: Wataongeza 30 minutes Click to expand... una uhakika., watatupiga 5
utafiti JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 12,783 Reaction score 7,671 Mar 9, 2014 #1,010 Watawamaliza wapiga penalt wetu...wangapi anabebwa kutoka nje?
Deo Corleone JF-Expert Member Joined Jun 29, 2011 Posts 17,023 Reaction score 13,370 Mar 9, 2014 #1,011 DullyJr said: unamaanisha? Click to expand... Namaansha bora wafungwe na al ahly kuliko kwenda kukutana na tp mazembe ambako watapgwa zaidi ya 7.Halafu we ulianzaje kumpa wigan win!!
DullyJr said: unamaanisha? Click to expand... Namaansha bora wafungwe na al ahly kuliko kwenda kukutana na tp mazembe ambako watapgwa zaidi ya 7.Halafu we ulianzaje kumpa wigan win!!
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Mar 9, 2014 #1,012 hawa watu watatuumizia wachezaji woote sasa....full kuwasukuma watu
kbm JF-Expert Member Joined Oct 5, 2012 Posts 5,224 Reaction score 1,685 Mar 9, 2014 #1,013 FULL TIME: ============= Al Ahly 1-0 Yanga =============
O Otorong'ong'o JF-Expert Member Joined Aug 17, 2011 Posts 38,905 Reaction score 28,061 Mar 9, 2014 #1,014 Ntuzu said: Vp baddo haujaisha? Click to expand... Mmejificha ehhh...
utafiti JF-Expert Member Joined Jul 18, 2013 Posts 12,783 Reaction score 7,671 Mar 9, 2014 #1,015 data said: una uhakika., watatupiga 5 Click to expand... Sina hakika data Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Walid Consciouz Member Joined Mar 7, 2014 Posts 12 Reaction score 0 Mar 9, 2014 #1,016 Dakika 5 za nyongeza, Al Ahly 1 - 0 Young Africans Sent from my iPhone using JamiiForums
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Mar 9, 2014 #1,017 Revolution said: Poa basi mimi nitakuja huko around mwisho wa march i dont want to cause any trouble for you because i love you and i care for you babylove Click to expand... Mkuu naona kama umepoteaa njia vile?
Revolution said: Poa basi mimi nitakuja huko around mwisho wa march i dont want to cause any trouble for you because i love you and i care for you babylove Click to expand... Mkuu naona kama umepoteaa njia vile?
Ntuzu JF-Expert Member Joined Aug 8, 2013 Posts 17,418 Reaction score 10,877 Mar 9, 2014 #1,018 utafiti said: Wataongeza 30 minutes Click to expand... Mpira haujaisha tu!?
data JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 26,943 Reaction score 23,884 Mar 9, 2014 #1,019 kbm said: FULL TIME: ============= Al Ahly 1-0 Yanga ============= Click to expand... asante
Heaven on Earth JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 37,226 Reaction score 26,716 Mar 9, 2014 #1,020 Mpira umeisha dk 90