CACHE ni nini?

Cache ni temporary storage.. huifadhi data kwa muda mfupi ili kurahisisha accessibility ya vitu mbalimbali katika PC/Micro computers/phones..
Cache inaweza sababisha device kuwa nzito kama simu ina run out of the memory.. Coz simu inahtaj a certain memory ili ku increase speed ya simu yako.. Sasa once memory ikiwa imejaaa cache inashindwa ku ji adjust/increase kwa hyo uwezo wa device ku access a certain data inakua kaz kidogo leading to uchelewashaj wa data loading. Kwa mfano unaweza fungua app ikakaa kidogo then ndio ikafunguka
 
Yees
 
CACHE ni aina ya memory yenye speed kubwa sana inayopatikana kwenye hardware mfano processor au application. Hiyo memory kazi yake ni kuhifadhi address ya vitu ulivyovifanya kwenye hardware yako au application. Mfano case yako wewe ni ya application kwa hiyo application ina handle hiyo cache ili utakapotafuta kitu ulichokifanya/peruzi ijisearch automatically kwenye hiyo cashe halafu ikija hiyo tovuti we una iclick una endelea moja kwa moja tofauti na kama haingekuwepo wewe ungelazimika kuandika address nzima ya mtandao unaotembelea.

Hivyo hivyo simu au computer inapata msaada pale unapo search kitu ulichokifanya.

Faida ya cache technology ni kwamba ina speed up computing.
 
Kuna tofauti gani kati ya cookies na cache files??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…