Cabinet mpya: JK kakosea wizara 5 nyeti

Cabinet mpya: JK kakosea wizara 5 nyeti

1-Kwa mara ya kwanza chini ya utawala wa Mkulo, bajeti tegemezi imeshuka toka 48% mpaka 28%

Bull unapotoa hizo figure hapo juu tunaomba absolute figure pia. % pekee haitoi picha. Absolute figure ya 48% ni nini na hali kadhalika 28% ni nini?
 
Mimi naona jk amefunga midomo ya wengi. Watabaki wanamchukia tu yeye lakini kiukweli ameonesha kujali maslahi ya nchi kuliko maslahi ya kikundi kidogo - mafsd. Tumuunge mkono na tutekeleze nasi wajibu wetu p kama wasomi. Mwenye akili iliyopinda siku zote ni mlalamikaji tuu. Anyway huwezi kumridhisha kila mtu. Lakini pia nchi hii ni yetu sote.
Nadhani hata zito anakubaliana nami.
 
1-Kwa mara ya kwanza chini ya utawala wa Mkulo, bajeti tegemezi imeshuka toka 48% mpaka 28%

Bull unapotoa hizo figure hapo juu tunaomba absolute figure pia. % pekee haitoi picha. Absolute figure ya 48% ni nini na hali kadhalika 28% ni nini?
Na kwa mara ya kwanza chini ya Mkullo serikali ya URT imelazimika kukopa kutoka commercial bank kujazia nakisi ya bajeti yake. Mkopo huu utalipwa na wajukuu wetu.
 
Nategemea Mtaalam yoyote aje ku disspute figure na mafanikio ya Mkulu, pinga figa zangu kitaalam sio kubeza au kuomba maelezo zaidi bila kutaka kujisumbua

Fanyeni research muone Mkulo kaipeleka nchi mbali kiasi gani tuache ushabiki wa kichademea.
 
Mkuu Genekai umenichekesha na tafsiri ya majina ya mawaziri ambao hungependa kuwaona eg. Kawa Mbwa
 
Kikwete amejitahidi kiasi kuepukana na mawaziri ambao wana tuhuma/kashfa za ufisadi kwenye cabinet yake mpya. Lakini nimegundua kuwa wanasiasa vilaza wenye uwezo mdogo wa akili, ubunifu na kuchapa kazi ndiyo wamepewa kuongoza wizara nyeti.

Kwa maoni yangu, kwa kutumia mawaziri walewale wa Cabinet, Kikwete angekuwa na baraza la mawaziri lenye ufanisi mkubwa kama angefanya uteuzi huu:


1. Waziri wa Fedha, Prof. Anna Tibaijuka

Huyu ana uzoefu wa UN, UNCTAD, ana PhD ya agro-economics na alikuwa economics professor UDSM. Anakubalika sana kimataifa. Donors hawana imani na uwezo wa Mustafa Mkulo. Angesaidia kurudisha imani ya donors kwa Tanzania ambao walipunguza misaada kwenye bajeti iliyopita kwa kama $250m.

2. Waziri wa Maliasili na Utalii, John Magufuli

Utalii inaongoza kwa kuingiza pato serikalini lakini bado Tanzania imelala sana. Afrika Kusini inapata watalii milioni 8 kwa mwaka sisi bado hata hatujafikisha 1 million. Pia angekomesha biashara haramu ya vitalu, magogo na meno ya tembo.

3. Waziri wa Nishati na Madini, Harisson Mwakyembe

Huyu ni mchapa kazi mahiri. Anaijua sheria vizuri na angesimamia mikataba mibovu ya madini ibadilishwe. Makampuni makubwa ya madini yanamdharau waziri wa sasa William Ngeleja kuwa hajui kinacho endelea. Ngeleja aliwahi kupongeza De Beers kuuza mgodi wa Mwadui Williamson diamonds kwa Petra kimakosa badala ya kuuza hisa hizo kwa serikali ya Tanzania.

4. Waziri wa Kilimo, Samuel Sitta

Angesaidia kuleta msukumo mpya kwenye sekta ya kilimo ambayo bado inalegalega sana. Angeboresha kilimo kwa standards and speed. Kilimo cha kisasa kingefana. Tanzania ingekuwa nchi ya milk and honey.

5. Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Prof. Mark Mwandosya


Ni mfuatiliaji mzuri. Angesaidia kuboresha utendaji kazi wa halmashauri zote nchini. George Mkuchika, ambaye ni swahiba mkubwa wa Kikwete alishindwa kuongoza wizara ndogo kama ya habari. Kumpa Mkuchika wizara hii nyeti ni jambo la ajabu sana na la kutotegemewa.


Fareed:

Naomba uniambie kitu kimoja. Kuna sababu gani Tibaijuka kuchukua wizara ya fedha hili kurudisha imani ya wahisani? Kwanini asitafutwe mtu ambaye kazi yake itakuwa ni kuwambia hao wahisani THANK YOU VERY MUCH, WE WILL LIVE WITHIN OUR OWN MEANS.

Misaada wanayotupa are unsustainable. Inategemea sana na hali za uchumi za nchi hizo. Kwanini misaada hiyo ipungue 2009-2010 wakati nchi hizo zinakabiliwa na matatizo ya kifedha. Na aikupungua wakati kulipokuwepo na scandals za EPA au Richmond.
 
Mkulo anafaa abaki pale pale kwenye fedha kwa sababu zifuatazo;

1-Kwa mara ya kwanza chini ya utawala wa Mkulo, bajeti tegemezi imeshuka toka 48% mpaka 28%

2-Ukusanyaki wa kodi umepanda toka 240billion mpaka kufikia 1025billion 2010

3- Uchumi wetu unaendelea kupata sasa umefikia 7.8%

4- TZ inakuwa kiuchumi kuliko nchi yoyote ya East afric na kushind nchi nyingi africa

4- credit facilities/mikopo inapatikana kila sehemu

5- Bank ya wanawake na kuwawezesha kimaendeleo

6- Inflation imeshuka sasa ni 4.5% toka 15%

7- Thamani ya shillingi haijaporomoka kwa muda mrefu

8- Bail out plane, tz imehimili mtikisiko wa uchumi duniani chini ya JK na Mkulo kama waziri wa fedha

9- Bajeti ya kila wizara ameongeza hasa wizara zilizo kuwa zimesahaliwa na mawaziri waliopita

10 Bajeti ya elimu, afya na kilimo imeongezwa maradufu

11- nk

Wakuu tuwe fair tunapo wajaji watu tusiwe always negative toward other, naamini Mkulo kajatahidi, chini ya uongozi wake tanzania itafika mbali, kama wanauchumi walivyo tabiri na kusema' TZ kama itaendelea na speed hii ya uchumi kati ya 7 to 10% itakuwemo kati ye emerging market countries' Nawakilis
ha
You can't be serious! Exchange rate za shiling yetu na fedha za nje zikoje? For this no no no!
 
Mkulo anafaa abaki pale pale kwenye fedha kwa sababu zifuatazo;

1-Kwa mara ya kwanza chini ya utawala wa Mkulo, bajeti tegemezi imeshuka toka 48% mpaka 28%



Huuu ni uwongo sana.
Baba ( tanzania)Kanyimwa msaada na mjomba (wahisani) sababu hawariziki na anavyishughilia rushwa . Baba kaamua kwenda kukopa benki ili watoto waendelee kula kuku nyama. Je hapa kuna kujisifa kuwa tunajitegemea bajeti kwa 72%.

Ulizia Serikali ya Mkapa ilipa madeni ya shilingi ngapi. Ulizia Serikali ya Mkapa ilikopa shlingi ngapi then linganisha na Mikopo inayochukuliwa na serikali ya sasa . Ulizia serikali ya sasa imelipa madeni ya shilingi ngapi?Kifupi yale madeni yote yaliyolipwa na serikali ya Mkapa na hivyo kurudisha cofidence ya wahisani ni kama kazi bure.
 
Tunataka Tanzania iwe HUB, yani iwe na barabara safi za ndani na kuunganisha nchi jirani ili tuwe centre wa soko wa majirani zenu. Makufuli na naibu wake watafaa kwa shughuri hiyo.

Tunataka kwenye jumuia ya afrika tusikibizwe kimbizwe Sita Samweli anafaa pale. Ni maoini tu
 
Mkulo anafaa abaki pale pale kwenye fedha kwa sababu zifuatazo;

1-Kwa mara ya kwanza chini ya utawala wa Mkulo, bajeti tegemezi imeshuka toka 48% mpaka 28%

2-Ukusanyaki wa kodi umepanda toka 240billion mpaka kufikia 1025billion 2010

3- Uchumi wetu unaendelea kupata sasa umefikia 7.8%

4- TZ inakuwa kiuchumi kuliko nchi yoyote ya East afric na kushind nchi nyingi africa

4- credit facilities/mikopo inapatikana kila sehemu

5- Bank ya wanawake na kuwawezesha kimaendeleo

6- Inflation imeshuka sasa ni 4.5% toka 15%

7- Thamani ya shillingi haijaporomoka kwa muda mrefu

8- Bail out plane, tz imehimili mtikisiko wa uchumi duniani chini ya JK na Mkulo kama waziri wa fedha

9- Bajeti ya kila wizara ameongeza hasa wizara zilizo kuwa zimesahaliwa na mawaziri waliopita

10 Bajeti ya elimu, afya na kilimo imeongezwa maradufu

11- nk

Wakuu tuwe fair tunapo wajaji watu tusiwe always negative toward other, naamini Mkulo kajatahidi, chini ya uongozi wake tanzania itafika mbali, kama wanauchumi walivyo tabiri na kusema' TZ kama itaendelea na speed hii ya uchumi kati ya 7 to 10% itakuwemo kati ye emerging market countries' Nawakilisha


mjomba unapata wapi data zako inaelekea umechukua data za kwenye kampeni na kuzigeuza kuwa data za ukweli.
1. tegemezi kutoka 48% to 28% siyo kweli kwani budget ya mwaka iliyopita ilikuwa 9.5 trilioni na Tanzania revenue yetu ilikuwa about 6 trilioni kwahiyo zilizobaki zilitoka kwa wahisani that is about 40% dependence.

2. ukusanyaji wa kodi unasema kuwa ni kutoka 240 bilioni to 1025 bilioni sijui hizi data
umezitoa wapi all i know kulingana na BOT makusanyo kwa mwezi sasa ni 450 billion.

3. kulingana na watalaam uchumi unakua kwa chini ya asilimia 5% kwa mujibu wa wataal
am wengi wa uchumi ikiwemo IMF.

4. Basically inflation bado hiko pale pale ulichokifanya wewe ni kuondoa inflation inayoto
kana na chakula ambaye ni above 10% kupata hiyo 4.5%.

5. thamani ya shilingi imeporoka vibaya kutoka close to 1000 mwaka 2005 mpaka 1500
kwa dola kama unaita huo ni mporomoko mdogo basi ukionyesha mporomoko sijui km
hutauona.

6. benki ya wanawake that has nothing to do with mkulo kama swali la kujiuliza ni yeye
asingekuwepo basi benki hiyo ingeshindwa kufunguliwa plus it was his idea anyway.

7. budget ya wizara ya elimu imeongezeka ni kweli lakini pesa hizo zimesaidia nini ku im
prove elimu, Tanzania imekuwa ya 48 kati ya nchi 50 za Africa. jifunze ku deal na
reality kuliko talking point za CCM.

MY take on Mkulo, chini ya uongozi wake deni letu la Taifa limekuwa kutoka 6.5 billion
in U.S.dollars in 2005 mpaka almost 10 bilioni us dollars. This is real threat to
Economy kuliko anything else. the Government spending is out of control under his
watch. simuoni mtu yeyote anayefaa kuwa waziri wa fedha km he/she cannot have
concrete plan on how to drastically cut wastefully spending and at the same to find
some ways to wien ourselves out of IMF and WORLD BANK rat race.
 
Fareed:

Naomba uniambie kitu kimoja. Kuna sababu gani Tibaijuka kuchukua wizara ya fedha hili kurudisha imani ya wahisani? Kwanini asitafutwe mtu ambaye kazi yake itakuwa ni kuwambia hao wahisani THANK YOU VERY MUCH, WE WILL LIVE WITHIN OUR OWN MEANS.

Misaada wanayotupa are unsustainable. Inategemea sana na hali za uchumi za nchi hizo. Kwanini misaada hiyo ipungue 2009-2010 wakati nchi hizo zinakabiliwa na matatizo ya kifedha. Na aikupungua wakati kulipokuwepo na scandals za EPA au Richmond.

Umejenga hoja nzuri, Tanzania iko kwenye debt trap. Maana yake ni kuwa inajikuta kwenye mtego wa kukopa kila siku. Ni lazima tutoke hapa, so tunahitaji mtu makini kama Tibaijuka wa kuongea na donors watoe grants na concessional loans kwa miradi mikubwa ya maendeleo kama Stiegler's gorge, kufuta madeni ambayo ni unsustainable, na kutengeneza program kabambe ya kuitoa Tanzania kwenye utegemezi ifikapo miaka 5 au 10 ijayo. Huyo Mkulo wanamsifu kwa kupunguza utegemezi mpaka 28% ukweli ni kuwa donors walikataa kutoa misaada kwa Tanzania kutokana na utawala mbovu ndiyo maana wakapunguza msaada. Badala yake sasa serikali inakopa commercial loans kutoka kwenye mabenki kwa riba za juu sana. Chini ya Mkulo, utegemezi umepungua kutokana na donors kukata msaada si serikali kujitegemea, halafu serikali inakopa kutoka kwenye mabenki na kuuza govt securities nyingi zaidi kama Treasury bonds and bills hivyo national debt inapaa kwa kasi ya ajabu. Kwa mwenendo huu, wakiondoka 2015 wataiacha nchi kwenye deni kubwa sana la taifa ambalo halijawahi kutokea.

Uzoefu wa Tuibaijuka kama mwakilishi wa LDCs kwenye UNCTAD ungesaidia Tanzania iweze kujenga hoja ya more trade not aid ili nchi ipate fursa ya kuuza products zake nyingi zaidi nchi za nje na kuweza kupata dollar za kimarekani za kutosha through export trade. In the final analysis, hizi zote ni theory based on CV na uzoefu wake.
 
kama kuna watu sikutaka kuwaona ni wanne kwanza ni yeye mwenyewe kama rais (ila hili nimelivumilia) wizarani sikupenda kuwaona ngeleja yule msela, mkulo yule mkulaji na kawa mbwa alojenga matundu manne ya choo kwa mil mia saba!
salute
 
Na kwa mara ya kwanza chini ya Mkullo serikali ya URT imelazimika kukopa kutoka commercial bank kujazia nakisi ya bajeti yake. Mkopo huu utalipwa na wajukuu wetu.

Mambo kama haya kuwa yananitia uchungu sana. Viongozi wetu hawana vision ya nchi yetu kwa miaka 25-30 ijayo. Mipango iliyopo ni ya zima moto na "hand to mouth"!
 
Mwananchi wa mwisho amenufaikaje na utawala wa JK na mawaziri vivuli wake? ... Msitujazie data za mapapmbo wakati mwananchi wa kawaida bado anasota!!
 
jk kafanya kazi nzuri sana tuwe wakweli.mpeni haki bwana upinzani wekeni pembeni...
 
Huo mtazamo wako binafsi subiri na wewe uwe rais uje na baraza lako
 
Mkulo anafaa abaki pale pale kwenye fedha kwa sababu zifuatazo;

1-Kwa mara ya kwanza chini ya utawala wa Mkulo, bajeti tegemezi imeshuka toka 48% mpaka 28%

2-Ukusanyaki wa kodi umepanda toka 240billion mpaka kufikia 1025billion 2010

3- Uchumi wetu unaendelea kupata sasa umefikia 7.8%

4- TZ inakuwa kiuchumi kuliko nchi yoyote ya East afric na kushind nchi nyingi africa

4- credit facilities/mikopo inapatikana kila sehemu

5- Bank ya wanawake na kuwawezesha kimaendeleo

6- Inflation imeshuka sasa ni 4.5% toka 15%

7- Thamani ya shillingi haijaporomoka kwa muda mrefu

8- Bail out plane, tz imehimili mtikisiko wa uchumi duniani chini ya JK na Mkulo kama waziri wa fedha

9- Bajeti ya kila wizara ameongeza hasa wizara zilizo kuwa zimesahaliwa na mawaziri waliopita

10 Bajeti ya elimu, afya na kilimo imeongezwa maradufu

11- nk

Wakuu tuwe fair tunapo wajaji watu tusiwe always negative toward other, naamini Mkulo kajatahidi, chini ya uongozi wake tanzania itafika mbali, kama wanauchumi walivyo tabiri na kusema' TZ kama itaendelea na speed hii ya uchumi kati ya 7 to 10% itakuwemo kati ye emerging market countries' Nawakilis
ha

INFLATION imeshuka???? heheheeee. hizo ni namba zinazotolewa na wachumi wa JK ili kuficha ukweli wewe bidhaa ipi umeona ishuka?
 
Adui mwombee njaa. Kwani unataka utawaliwe na ccm kwa karne ngapi? Tumezoea shida zetu na furaha, vifijo na nderema za makabwela vitasikika siku ccm itakapo kuwa chama cha upinzani. Tatizo watanzania tunatendence ya kubadilika badilika. Mlitaka mwanze kumwaga sifa wakati juzi tu mlidai kachakachua matokeo maana mlishapoteza imani na kura zenu ndo zilizochakachuliwa sasa mazuri kwake utayatoa wapi.



UR VERI RITE NDUGU. Majuz walikuwa wanamponda sasa sijui leo wanashangaa nin na kuzungumza nin
 
Kikwete amejitahidi kiasi kuepukana na mawaziri ambao wana tuhuma/kashfa za ufisadi kwenye cabinet yake mpya. Lakini nimegundua kuwa wanasiasa vilaza wenye uwezo mdogo wa akili, ubunifu na kuchapa kazi ndiyo wamepewa kuongoza wizara nyeti.

Kwa maoni yangu, kwa kutumia mawaziri walewale wa Cabinet, Kikwete angekuwa na baraza la mawaziri lenye ufanisi mkubwa kama angefanya uteuzi huu:


1. Waziri wa Fedha, Prof. Anna Tibaijuka

Huyu ana uzoefu wa UN, UNCTAD, ana PhD ya agro-economics na alikuwa economics professor UDSM. Anakubalika sana kimataifa. Donors hawana imani na uwezo wa Mustafa Mkulo. Angesaidia kurudisha imani ya donors kwa Tanzania ambao walipunguza misaada kwenye bajeti iliyopita kwa kama $250m.

2. Waziri wa Maliasili na Utalii, John Magufuli

Utalii inaongoza kwa kuingiza pato serikalini lakini bado Tanzania imelala sana. Afrika Kusini inapata watalii milioni 8 kwa mwaka sisi bado hata hatujafikisha 1 million. Pia angekomesha biashara haramu ya vitalu, magogo na meno ya tembo.

3. Waziri wa Nishati na Madini, Harisson Mwakyembe

Huyu ni mchapa kazi mahiri. Anaijua sheria vizuri na angesimamia mikataba mibovu ya madini ibadilishwe. Makampuni makubwa ya madini yanamdharau waziri wa sasa William Ngeleja kuwa hajui kinacho endelea. Ngeleja aliwahi kupongeza De Beers kuuza mgodi wa Mwadui Williamson diamonds kwa Petra kimakosa badala ya kuuza hisa hizo kwa serikali ya Tanzania.

4. Waziri wa Kilimo, Samuel Sitta

Angesaidia kuleta msukumo mpya kwenye sekta ya kilimo ambayo bado inalegalega sana. Angeboresha kilimo kwa standards and speed. Kilimo cha kisasa kingefana. Tanzania ingekuwa nchi ya milk and honey.

5. Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Prof. Mark Mwandosya


Ni mfuatiliaji mzuri. Angesaidia kuboresha utendaji kazi wa halmashauri zote nchini. George Mkuchika, ambaye ni swahiba mkubwa wa Kikwete alishindwa kuongoza wizara ndogo kama ya habari. Kumpa Mkuchika wizara hii nyeti ni jambo la ajabu sana na la kutotegemewa.

HAPANA, hao wote walivyo wekwa jana na Baraza la JK ndio wako sawa sawa, rudia tena kulisoma baraza vizuri, yaonekana jana ulikuwa na haraka kidogo kijana.
 
Kikwete amejitahidi kiasi kuepukana na mawaziri ambao wana tuhuma/kashfa za ufisadi kwenye cabinet yake mpya. Lakini nimegundua kuwa wanasiasa vilaza wenye uwezo mdogo wa akili, ubunifu na kuchapa kazi ndiyo wamepewa kuongoza wizara nyeti.

Kwa maoni yangu, kwa kutumia mawaziri walewale wa Cabinet, Kikwete angekuwa na baraza la mawaziri lenye ufanisi mkubwa kama angefanya uteuzi huu:


1. Waziri wa Fedha, Prof. Anna Tibaijuka

Huyu ana uzoefu wa UN, UNCTAD, ana PhD ya agro-economics na alikuwa economics professor UDSM. Anakubalika sana kimataifa. Donors hawana imani na uwezo wa Mustafa Mkulo. Angesaidia kurudisha imani ya donors kwa Tanzania ambao walipunguza misaada kwenye bajeti iliyopita kwa kama $250m.

2. Waziri wa Maliasili na Utalii, John Magufuli

Utalii inaongoza kwa kuingiza pato serikalini lakini bado Tanzania imelala sana. Afrika Kusini inapata watalii milioni 8 kwa mwaka sisi bado hata hatujafikisha 1 million. Pia angekomesha biashara haramu ya vitalu, magogo na meno ya tembo.

3. Waziri wa Nishati na Madini, Harisson Mwakyembe

Huyu ni mchapa kazi mahiri. Anaijua sheria vizuri na angesimamia mikataba mibovu ya madini ibadilishwe. Makampuni makubwa ya madini yanamdharau waziri wa sasa William Ngeleja kuwa hajui kinacho endelea. Ngeleja aliwahi kupongeza De Beers kuuza mgodi wa Mwadui Williamson diamonds kwa Petra kimakosa badala ya kuuza hisa hizo kwa serikali ya Tanzania.

4. Waziri wa Kilimo, Samuel Sitta

Angesaidia kuleta msukumo mpya kwenye sekta ya kilimo ambayo bado inalegalega sana. Angeboresha kilimo kwa standards and speed. Kilimo cha kisasa kingefana. Tanzania ingekuwa nchi ya milk and honey.

5. Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Prof. Mark Mwandosya

Ni mfuatiliaji mzuri. Angesaidia kuboresha utendaji kazi wa halmashauri zote nchini. George Mkuchika, ambaye ni swahiba mkubwa wa Kikwete alishindwa kuongoza wizara ndogo kama ya habari. Kumpa Mkuchika wizara hii nyeti ni jambo la ajabu sana na la kutotegemewa.

Umemaliza.....
 
Back
Top Bottom