Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 256
WW Mwana CCM, jina lako ndio hapa jamvini ni moja ya kileo kinacho walevya hao mafisadi. Wakiona jina lako wanajipa moyo kuwa pamoja na upuuzi wao bado kuna watu wajiita mwana CCM. Ruzuku imepungua sijui kama mwezi ulipita kuna senti ilikuja kwako. Soma alama, achana nao changia mabadiriko.