Mkwawa
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,334
- 1,464
CCM ndio wanaomlipa Mbatia na ndiye aliyepiga kampeni ya fedha na kufanikiwa kumfukuza Kafulila sasa iweje tena wasiafiki aliyoyafanya kibaraka wao? Kuhusu jimbo Kafulila kashika mpini kule Kigoma kwani hata akigombea na JK au akajiunga na chama mufilisi kama TADEA bado atashinda kwa kishindo na si lazima atokee CDM
Hivi nini kilimpata Dr Walid Aman Kaboru???? Mpini ulienda wapi? Je Romani Masumbuko Lamwai Mpini ulienda wapi??? Siasa ni wakati ukicheza nao vibaya unaweza kujikuta huna mpini una kipisi. Vijana lazima wajifunze kupambana na mabadiliko, huwezi kuwa na matatizo kila uendapo lazima kujifunza leadership skills. Ukiona kila mahali wewe ndie unakataliwa basi unatatizo ndio ni kweli Mbatia pandikizi ila hili linajulikana siku nyingi hata kabla kafulila hajaenda NCCR.