Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 3,579
- 2,906
Watanzania ni kweli kuna mambo tunaweza tukabishana ila sio Upendo wa Rais Samia Suluhu Hassan Kwa Wakulima wa nchi hii,
Hebu fikiria Rais Samia ameongeza dhamana ya mikopo ya TZS 355.3bn kutoka TZS 63bn mwaka 2020 mpaka TZS 418.3bn mwaka 2024 kwa wakulima, sawa na ongezeko la 564%.
Hii mikopo imesaidia Wakulima wengi kuepa Mikopo ya Kausha damu iliyowaacha watupu baada ya Msimu wa kilimo najua hili wote mnafahamu