Saa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 6,509
- 12,867
Mtoa mada kitoe icho kigunzi matakoni
SIO SAWA LAKINIKausha damu is there to stay acheni kujidanganya, tena kwa uchumi wa soko na ubepari ndio zitaongezeza sana zaidi na zaidi. Marekani kaushadamu zimejaa kila kona pamoja na liuchumi lake kubwa la kutosha itakua shitholeni?
Yani uchumi unavyokua ndio zinaongezeka zaidi
SIO SAWA LAKINI
NDIO ILIVYO HATA SASANdio tabia ya uchumi wa kibepari/soko kiongozi, kama hamtaki urudishwe ujamaa ndio itakua tofauti
Maskini atamtumikia tajiri na mwenye nguvu milele tangu enzi za mitume na manabii!
Na gap la walio nacho na wasionacho litendelea kuwa kubwa kila siku hamna mwanasiasa atafanya kitu zaidi ya kudanganya kundi la maskini kila siku apate naye mradi wake. Hujashangaa why Rostam karudishwa wazi tena?? Baada ya mascandal walimficha akafanya mambo yake kwenye background na sasa wanajua wabongo washasahau au waliokuwepo washazeeka so kaja upyaa!NDIO ILIVYO HATA SASA
SIO KWELINa gap la walio nacho na wasionacho litendelea kuwa kubwa kila siku hamna mwanasiasa atafanya kitu zaidi ya kudanganya kundi la maskini kila siku apate naye mradi wake. Hujashangaa why Rostam karudishwa wazi tena?? Baada ya mascandal walimficha akafanya mambo yake kwenye background na sasa wanajua wabongo washasahau au waliokuwepo washazeeka so kaja upyaa!
Ndio tabia za matajiri na wenye fweza tutawatumikia tu na wanasiasa watalinda maslahi yao muda wote huku wanatupa makombo tushangilie
Sawa mkuu tendelee kusindikiza wenye maisha yao tubaki kuimba mapambio tu, kwa heriSIO KWELI
pambana inawezekanaSawa mkuu tendelee kusindikiza wenye maisha yao tubaki kuimba mapambio tu, kwa heri
Kwani hizo pesa zimetoka mfukoni mwake au serikali ndio imetoa hizo pesa,
Huu unafiki mwingine jamani
okeSawa sawa.
kazi inafanyikaView attachment 3393313
Watanzania ni kweli kuna mambo tunaweza tukabishana ila sio Upendo wa Rais Samia Suluhu Hassan Kwa Wakulima wa nchi hii,
Hebu fikiria Rais Samia ameongeza dhamana ya mikopo ya TZS 355.3bn kutoka TZS 63bn mwaka 2020 mpaka TZS 418.3bn mwaka 2024 kwa wakulima, sawa na ongezeko la 564%.
Hii mikopo imesaidia Wakulima wengi kuepa Mikopo ya Kausha damu iliyowaacha watupu baada ya Msimu wa kilimo najua hili wote mnafahamu
sana tuTunatiki
Acha uongoKwani hizo pesa zimetoka mfukoni mwake au serikali ndio imetoa hizo pesa,
Huu unafiki mwingine jamani
kati yangu na wewe nani muongo?Acha uongo
Mwanaume mzima unakaa nyuma ya keyboard kujikomba kwa watawala, una tofauti gani na shoga anayeuza mkun%u ?kati yangu na wewe nani muongo?
uongo ni upi hapo?Acha uongo
Buku 7 oyeeeee