Monda kubwa
Senior Member
- Jun 20, 2019
- 121
- 155
Wakuu Vodacom hiii huwa wanajua kuwa sisi Watanzania asilimia kubwa ni wenye uchumi wa kati? Vifurushi vyao vina uzito usiobebeka. Nakuja Halotel. Vodacom hapana. Waendelee kutumia kina Bakhresa , Dewji e.t.c.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app