Mzungu hawezi kukubali kupoteza Afrika hata siku moja na wewe J.Zuma unajaribu
kumyang'anya Mzungu tonge mdomoni kwa kuanza kujitoa ICC, sasa Mzungu ana
hit back, na maandamamo yameshaanza na ninavyosikia baadhi ya
heavy weights wa ANC wameshanunuliwa na
sasa hawakutaki, kaa mkao wa kula muda umefika!
Nitakukumbuka Zuma kwa matukio ya ushujaa umeanzisha kampeni za kuondoa masanamu yote ya Kizungu, umeingia mkataba ya kujenga Nuclear power plant ambapo itaipatia AK Nishati ya uhakika, Wazungu hawataki hili, pole sana najua ndugu zako
house niggas watakugeuka na kuwa upande wa Mzungu kama kawaida yao!
Amandla!!!
Afrika ni mtoto wa Muzungu!