Bye bye english

Bye bye english

Denicedion

Member
Joined
Jan 11, 2015
Posts
33
Reaction score
7
SIONGEI ENGLSH TENA:

Amini usiamini ENGLISH ni Lugha ya wanyama
na ndege, kwani:-

PAKA:Ukimcheleweshea maziwa utasikia
anasema NOW, NOW!

NG'OMBE:Naye asiposhiba utamsikia
MORE,MORE!

MBWA:Ukipita karibu na kwao kama hakujui
lazima atakuuliza WHO,WHO!

KIFARANGA:Kikitotolewa utakisikia kikisema
NEW,NEW!

MBUZI: nao ni masharobaro kweli utawasikia
MEN,MEN!

Hii kweli hatari acha kujaribu kimoyomoyo soma kwasauti duu! ni shida.
 
Hahahaha ningewatumia clip but hazikubali.
 
mimi mwenye sauti ya bass siamini sauti ya paka na kifaranga...hebu tafuta nyingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom