Hamna kitu kama hicho. Yaani upinzani haupati hata majimbo mawili kusini yaani Mtwara na Lindi...wao wanasisitiza DHULMA iliyofanywa na CCM kwa mikoa ya Kusini.
..CCM isipokuwa makini itafutika mikoa ya kusini kama ilivyofutika Pemba.
Sasa hizokomed kumbe nikuhamasha?
Haa haaa mumeanza kujambajamba stend, kama mnajua hao jwtz wanaitwa kupeleka mabox yenu, kwa nini mnakubali kushiriii uchaguziiii?Uchaguzi mgumu kwa CCM labda JWTZ liamuriwe kuondoka na maboksi ya kura za CHADEMA zibaki za ccm ili zihesabiwe
Kusini sasa mwaka huu ndio mwaka wa kufanya mabadiliko na kuchagua viongozi wao.
Kilwa lilikua ni dola kubwa Mpaka karne ya 15.
Serikali za wakaoloni wa Kijerumani na Kiingereza zilizoizaa CCM kimkakati wa kuua Maendeleo ya Kielimu,kidemokrasia, kiuchumi na kisiasa zimeendelea kuifanya kusini kuwa nyuma kimaendeleo kwa uwazi kabisa.
Gesi ilipoonekana italeta mabadiliko Makubwa ya kiuchumi kusini CCM waliamua kuua miradi ya gesi ili watu wa kusini waendelee kujuta kwa kukataa kutawaliwa kibabe tangu Ukoloni.
Dangote alipoletwa na Kikwete ili aendeleze viwanda vya sementi ili ishike bei watu wa kusini wajenge nyumba bora na kupata ajira ,Serikali ya CCM awamu ya tano ilimwekea vikwazo vingi kinyume na mkataba uliomvutia Dangote kuwekeza . yote ni ili kusini ibaki kwenye mkakati wa Wakoloni kubaki nyuma kwa kukataa ukoloni na Serikali za mabavu.
Korosho ilipoonekana inawaletea maendeleo watu wa kusini na kuweza kujenga nyumba zao na kuwasomesha watoto wao CCM iliwanyanganya pesa zao za korosho na korosho kupitia Jeshi liliotumiwa vibaya na watu walioshiba kuwadhulumu wenye njaa.
Sasa Kusini wanaendelea kukataa suala la kuchaguliwa wabunge na upolepolepole na Ubashibashiru kutoka Rwanda.
Uliona wapi kuku akiuzwa sh. Laki moja.
..Bwege huyu hapa.
..sidhani kama kuna mtu anaweza kuhamasisha watu wa kusini kumzidi Bwege.
..wao wanasisitiza DHULMA iliyofanywa na CCM kwa mikoa ya Kusini.
..CCM isipokuwa makini itafutika mikoa ya kusini kama ilivyofutika Pemba.
..Bwege huyu hapa.
..sidhani kama kuna mtu anaweza kuhamasisha watu wa kusini kumzidi Bwege.
Pembeni yake naona Tanki kubwa la maji halaf anasema CCM HAIFAI. Huyu bwege kweli
Hujui kiswahili nemeweka neno labdaHaa haaa mumeanza kujambajamba stend, kama mnajua hao jwtz wanaitwa kupeleka mabox yenu, kwa nini mnakubali kushiriii uchaguziiii?
Wazeee wa kiki bwana, sijui akili zenu zikojee,
Matusi ndo mnawezaa, ila kwenye point za kujenga mko weupe kichwaniHujui kiswahili nemeweka neno labda
Wakipata wabunge wengi huko wanakua ndo kambi rasmi ya upinzani bungeni.......kila mtu anatupa karata zake sasa ,wale wanaongoja kura za huruma wanaweza pata suprise bunge lijalo..wao wanasisitiza DHULMA iliyofanywa na CCM kwa mikoa ya Kusini.
..CCM isipokuwa makini itafutika mikoa ya kusini kama ilivyofutika Pemba.
Mpaka sasa wenyewe hawajui washike wapi kati ya Membe na Lissu.Rais ni membe au lissu ?
Jibu unaloAcheni kuwafarijiiii, membe mwenyeweee, muda wote alikua anagongagonga maiki, huku umati wenyewee ulikua unasikitishaaa
Halafu, unasema wanaifuta ccm kusini kweli??
Mpaka sasa wenyewe hawajui washike wapi kati ya Membe na Lissu.
Wakipata wabunge wengi huko wanakua ndo kambi rasmi ya upinzani bungeni.......kila mtu anatupa karata zake sasa ,wale wanaongoja kura za huruma wanaweza pata suprise bunge lijalo
Poleni kusiniKusini sasa mwaka huu ndio mwaka wa kufanya mabadiliko na kuchagua viongozi wao.
Kilwa lilikua ni dola kubwa Mpaka karne ya 15.
Serikali za wakaoloni wa Kijerumani na Kiingereza zilizoizaa CCM kimkakati wa kuua Maendeleo ya Kielimu,kidemokrasia, kiuchumi na kisiasa zimeendelea kuifanya kusini kuwa nyuma kimaendeleo kwa uwazi kabisa.
Gesi ilipoonekana italeta mabadiliko Makubwa ya kiuchumi kusini CCM waliamua kuua miradi ya gesi ili watu wa kusini waendelee kujuta kwa kukataa kutawaliwa kibabe tangu Ukoloni.
Dangote alipoletwa na Kikwete ili aendeleze viwanda vya sementi ili ishike bei watu wa kusini wajenge nyumba bora na kupata ajira ,Serikali ya CCM awamu ya tano ilimwekea vikwazo vingi kinyume na mkataba uliomvutia Dangote kuwekeza . yote ni ili kusini ibaki kwenye mkakati wa Wakoloni kubaki nyuma kwa kukataa ukoloni na Serikali za mabavu.
Korosho ilipoonekana inawaletea maendeleo watu wa kusini na kuweza kujenga nyumba zao na kuwasomesha watoto wao CCM iliwanyanganya pesa zao za korosho na korosho kupitia Jeshi liliotumiwa vibaya na watu walioshiba kuwadhulumu wenye njaa.
Sasa Kusini wanaendelea kukataa suala la kuchaguliwa wabunge na upolepolepole na Ubashibashiru kutoka Rwanda.
Uliona wapi kuku akiuzwa sh. Laki moja.