GE2025 Bwege: Dalili zote zinaashiria Mbowe hayupo CHADEMA

GE2025 Bwege: Dalili zote zinaashiria Mbowe hayupo CHADEMA

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Kama mlisema anahujumu,mnataka akae huko afanye nini,wakati kila siku mnamtuna na vijana wenu,utafkiri Chadema iliota yenyewe bila Mbowe kuwepo
 
Seleman Bungara (Bwege), aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, anasema "Dalili zote Mbowe hayupo CHADEMA"

Soma > Bwege: Polepole Kathibitisha CCM ndiyo tatizo, inavunja Katiba ya Chama na Tanzania na inadharau maoni ya Watanzania


Hizo siyo dalili tu,ni uthibitisho tosha na ulio dhahiri.

Hiyo Chadema inabidi either ife au wale mamluki waondoke wote tofauti na hapo siasa za upinzani zitakuwa ni za kupotezeana muda
Huyo Mtu alikuwa Mamluki wao tangu zamani, ndio maana unaona kwamba alikuwa anawauza wenzake kwa 'Sponsa' wake.
 
Seleman Bungara (Bwege), aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, anasema "Dalili zote Mbowe hayupo CHADEMA"

Soma > Bwege: Polepole Kathibitisha CCM ndiyo tatizo, inavunja Katiba ya Chama na Tanzania na inadharau maoni ya Watanzania

Bwege amekuwa msemaji wa Chadema? Na hivi wanajua Mbowe anaongea nini na Samia kuhusu Lissu? Pamoja na Yericko kusema kuwa Mbowe amemtembelea mara tatu Lissu gerezani yeye na wenzake wenye kinyongo na Mbowe wanasema hajawahi kumtembelea. Chadema kama kweli wana mhitaji Mbowe wanajua namna ya kumpata. Kama hawajampata ni kuwa wamejitosheleza na kuwa hawamuhitaji.

Bwege aachane mambo ya Mbowe ajikite kwenye chama chake cha ACT-WAZALENDO. Chama chake kinamuhitaji kuliko Chadema inavyo mhitaji. Au kama anaunga mkono NRNE ajiunge tu na Chadema. Hakuna atakae mlaumu.

Ameanza kuchosha na mambo yake ya bata.

Amandla....
 
Back
Top Bottom