Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 17,139
- 24,561
MsukumaHata hivyo wanasiasa wenye elimu duni jamii ya Bwege hatuna matumizi nao.
Tulipofikia tunahitaji Bunge liwe la watu wasomi, critical &great thinkers sio waleta viroja na vihoja mara waruke sarakasi bungeni na mapambio kwa watawala.
Mbona kama anasukumwa kwenye kiti??Bwege aibwaga Act Wazalendo ajiunga na Chadema, asema Act Wazalendo siyo Rafiki sahihi katika safari yake ya Siasa.
Dah! Aisee😁Nimejikuta nabubujikwa na machozi ya furaha kuzidi yale ya Lucas
Karibu chama kubwa BwegeMwanasiasa machachari na aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Senior Selemani Said Ally Bungara, maarufu "Bwege," ametangaza rasmi kujivua uanachama wa chama cha ACT Wazalendo kuanzia jana, Februari 18, 2026.
Katika taarifa yake aliyoitoa kwa umma, Bwege ameeleza kuwa uamuzi huo umetokana na hiyari yake mwenyewe kama mtu huru, baada ya kutafakari kwa muda mrefu na kugundua kuwa ACT Wazalendo si "rafiki sahihi" katika safari yake ya kisiasa kama alivyokuwa amefikiria awali.
Bwege, ambaye anajulikana kwa msimamo wake thabiti na lugha za mvuto majukwaani, amebainisha kuwa mwelekeo wa sasa wa ACT Wazalendo ni tofauti na matarajio yake, jambo lililompelekea kuamua kutafuta jukwaa lingine la kuendeleza mapambano ya kisiasa.
“ACT Wazalendo si rafiki sahihi kwangu, nilivyofikiria ni tofauti na nilivyohisi. Kuanzia sasa mimi si mwanachama wa ACT Wazalendo tena kuanzia tarehe 18/2/2026. Mengine nitaongea baadaye. Ninategemea kushirikiana na kulitumia jukwaa la CHADEMA katika siasa za kudai demokrasia na maendeleo la taifa langu nilipendalo-Tanzania”, ameandika Bwege.
Mzee KICHWA sana sana huyu 👏🙇♂️Mwanasiasa machachari na aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Senior Selemani Said Ally Bungara, maarufu "Bwege," ametangaza rasmi kujivua uanachama wa chama cha ACT Wazalendo kuanzia jana, Februari 18, 2026.
Katika taarifa yake aliyoitoa kwa umma, Bwege ameeleza kuwa uamuzi huo umetokana na hiyari yake mwenyewe kama mtu huru, baada ya kutafakari kwa muda mrefu na kugundua kuwa ACT Wazalendo si "rafiki sahihi" katika safari yake ya kisiasa kama alivyokuwa amefikiria awali.
Bwege, ambaye anajulikana kwa msimamo wake thabiti na lugha za mvuto majukwaani, amebainisha kuwa mwelekeo wa sasa wa ACT Wazalendo ni tofauti na matarajio yake, jambo lililompelekea kuamua kutafuta jukwaa lingine la kuendeleza mapambano ya kisiasa.
“ACT Wazalendo si rafiki sahihi kwangu, nilivyofikiria ni tofauti na nilivyohisi. Kuanzia sasa mimi si mwanachama wa ACT Wazalendo tena kuanzia tarehe 18/2/2026. Mengine nitaongea baadaye. Ninategemea kushirikiana na kulitumia jukwaa la CHADEMA katika siasa za kudai demokrasia na maendeleo la taifa langu nilipendalo-Tanzania”, ameandika Bwege.
Ulitaka aungane na mana yako?Ameamua kuungana na mabaga fresh wenzake!!
Never trust muslimMwanasiasa machachari na aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Senior Selemani Said Ally Bungara, maarufu "Bwege," ametangaza rasmi kujivua uanachama wa chama cha ACT Wazalendo kuanzia jana, Februari 18, 2026.
Katika taarifa yake aliyoitoa kwa umma, Bwege ameeleza kuwa uamuzi huo umetokana na hiyari yake mwenyewe kama mtu huru, baada ya kutafakari kwa muda mrefu na kugundua kuwa ACT Wazalendo si "rafiki sahihi" katika safari yake ya kisiasa kama alivyokuwa amefikiria awali.
Bwege, ambaye anajulikana kwa msimamo wake thabiti na lugha za mvuto majukwaani, amebainisha kuwa mwelekeo wa sasa wa ACT Wazalendo ni tofauti na matarajio yake, jambo lililompelekea kuamua kutafuta jukwaa lingine la kuendeleza mapambano ya kisiasa.
“ACT Wazalendo si rafiki sahihi kwangu, nilivyofikiria ni tofauti na nilivyohisi. Kuanzia sasa mimi si mwanachama wa ACT Wazalendo tena kuanzia tarehe 18/2/2026. Mengine nitaongea baadaye. Ninategemea kushirikiana na kulitumia jukwaa la CHADEMA katika siasa za kudai demokrasia na maendeleo la taifa langu nilipendalo-Tanzania”, ameandika Bwege.
Hiv Muslim tulikufanyaga nini wewe zaidi ya chuki unazopandikizwaga tu na makasisi wako?Never trust muslim
Nyinyi ndiyo mnapingana na ukweli .... inamaana ukweli uhuoni 🙄Hiv Muslim tulikufanyaga nini wewe zaidi ya chuki unazopandikizwaga tu na makasisi wako?
Amekufa akiwa ndani ya chama bora kabisaSafi huko kwa madalali kulikuwa hakumfai
Bwege amekufa? RIPAmekufa akiwa ndani ya chama bora kabisa
Nimesikitika sana. Moambanaji mwema! RIP mzee Bwege.Amekufa akiwa ndani ya chama bora kabisa