Mbona Gas ya Mtwara tuliaidiwa maziwa na asali kiko wapi mpk leo
Subira yavuta bhangi Mkuu Mkuu!
Mbona Gas ya Mtwara tuliaidiwa maziwa na asali kiko wapi mpk leo
Na utakua umeshabadili katiba..sawa..Ndo maana nimesema kama wakipenda kuendelea basi mimi kwangu hiyo itakuwa ni sababu tosha ya kuwaruhusu wafanye hivyo!
Kama Rais wetu pamoja na Serikali yake wakifanikisha kutuingizia zaidi ya 2000 MW za Umeme kwenye Gridi yetu ya Taifa
Inawezekana kujengwa, Data zote wanazo Norplan toka miaka zaidi ya 20 iliyopita. Baada ya Norplan kuondoka Idara ya Haidrolojia Wizara ya Maji iliendelea kukusanya takwimu za mto rufiji. Hawa wanatakwimu za kidatu pia na mito husika. Tatizo mpaka leo wanapewa hela ndogo sana ya kufanyia kazi.
nchi ngapi zina double digt ec, growth? acha mihemkoKama Rais wetu pamoja na Serikali yake wakifanikisha kutuingizia zaidi ya 2000 MW za Umeme kwenye Gridi yetu ya Taifa, basi kama wakipenda na kukubali kuendelea kuongoza baada ya 2025 na iwe hivyo, lkn kama wakipenda wenyewe kwani hiyo siyo kazi ya kitoto kwa nchi ya Kiafrika, Ethiopia wameweza lkn kwa ungangari haswa, hivyo kwangu mimi hiyo ni litmus test , kama kweli tukijenga na kuzalisha umeme wa MW 2000 basi najua tumeshatoka na tutaitafuta double digit economic growth.
kesho tu mnaanza kuomba misaada ya mahindi. pumbavuAliyofanya mpaka sasa, watanzania tunasema aendelee tu mpaka tutakaposema basi.
Wewe umewahi kufanikisha nini maishani mwako zaidi ya labda kutongoza mahouse girl?
Kama Serikali hii ikifanikiwa kutuingiza 2000 MW za Umeme kwenye gridi ya Taifa basi wanastahili kuongezewa muda kama wakipenda kufanya hivyo!
2000 MW, that is a lot of power man, we going to become super power country in Africa. I concur.
Kama nilivyoandika mbele inawezekana kujenga sababu Norplan wanazo data toka 1980s Hydrology Department pale Ubungo waliendelea kukusanya takwimu za mto rufiji. Lakini OC ya kuwawezesha ufuatiliaji ni kiduchu kwa hiyo kazi haifanyiki. Na mkuu wa idara ataesema OC haitoshi nadhani. tamko. uliliskia. Umeme hauji kwa matamko Mkuu. Hiyo Mungu peke yake ndio alisema na iwe Nuru ikawepo.Mkuu hakuna haja ya kumwongezea mtu muda wa kutwawala isipokuwa anatakiwa aandaliwe mtu anayeweza kusimamia maendeleo yaliyopatikana ili tuweze kusonga mbele. Hebu fikiria ikiwa Nyerere angebaki madarakani hadi akafariki nchi ingekuwa katika taharuki gani?
Suala la umeme wa Stiegler 2000MW hilo tayari ni suala la kusubiri kuanza kazi tu. Magufuli akishasema Pesa Ipo anamaanisha.
Kwa hiyo 2000MW tu uwe superpower,?? Bado tuna deni kubwa sana kuufikia huo usuper power wa Africa..
Maana hata sasa bila hiyo 2000MW mbona tungeweza tu kuwa superpower Africa kama akili na bongo zetu zingefanya kazi vizuri maana tuna kila kitu Mungu ametujalia ambacho kingeweza kutufanya kuwa super power Africa na Dunia
2000mw + how much we using now since independence? Less than 2000. Now think, 2000mw in less than ten years, isn't that super power.
Pumbavu nani??kesho tu mnaanza kuomba misaada ya mahindi. pumbavu
juma nkamiaPumbavu nani??