“Bwawa la Ethiopia litalipuliwa”Donald Trump

Much of Lake Victoria is surrounded by mountains with streams tumbling down into the lake. The largest tributary of Lake Victoria is the Kagera river. The Kagera and its tributary the Ruvubu, with its headwaters in Burundi, is now considered to be the true source of the Nile Chem chem zatoka kwetu, wanaogombea wengine?

Dunia kweli inavituko.
 
Much of Lake Victoria is surrounded by mountains with streams tumbling down into the lake. The largest tributary of Lake Victoria is the Kagera river. The Kagera and its tributary the Ruvubu, with its headwaters in Burundi, is now considered to be the true source of the Nile
Chem chem zatoka kwetu, wanaogombea wengine?!
Dunia kweli inavituko..
Tofautisha kati ya Nile na Blue Nile. Inaonekana wewe Nile uijuayo ni moja tu hapa duniani
 
Much of Lake Victoria is surrounded by mountains with streams tumbling down into the lake. The largest tributary of Lake Victoria is the Kagera river. The Kagera and its tributary the Ruvubu, with its headwaters in Burundi, is now considered to be the true source of the Nile
Chem chem zatoka kwetu, wanaogombea wengine?!
Dunia kweli inavituko..
Dunia hiyo
 
Tofautisha kati ya Nile na Blue Nile. Inaonekana wewe Nile uijuayo ni moja tu hapa dunianim
The White Nile, which is the longer of the two, begins at Lake Victoria in Tanzania and flows north until it reaches Khartoum, Sudan, where it converges with the Blue Nile. The Blue Nile begins near Lake Tana in Ethiopia. The Nile River empties into the Mediterranean Sea in northern Egypt
 
Al Sisi myahudi sasa wacha apambane na Falasha
Akipiga bomu itakuwa ni kosa kubwa sana maana kila kitu kitaharibika mpaka maji yatawekewa sumu
Waache wamwage mboga
 
Kumtishia Ethiopia halafu ukamuacha Uchina ambaye ndiye mjenzi na mfadhili wa bwawa hilo nadhani halijakaa sawa kabisa. Pili matumizi ya maji ya Nile siyo uamuzi baina ya Ethiopia, Misri na Sudan peke yao: Nchi kama Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi ni wanahisa wakubwa ambao ni lazima washirikishwe kwenye hili suala. Mkataba wa Nile uliposainiwa hizi nchi zote kasoro Ethiopia zilikuwa chini ya ushawishi wa dola la Muingereza ndiyo maana sahihi zilikuwa za Waingereza na Wamisri tu.

Hili lisipoangaliwa linaweza kugeuka kutoka kuwa suala la kikanda tu (Regional Issue) na kufika kuwa suala la kidunia kwasababu litahusisha maslahi ya mataifa makubwa na hasimu ambayo yanagombania ushawishi barani Afrika, hasa kwenye ukanda wa pembe ya Afrika (The Horn of Africa). Misri ni mshirika mkubwa kimkakati (Strategic Partner) wa Marekani, usalama wake kisiasa ni ulinzi tosha kwa maslahi mapana ya Marekani hapa Afrika na Mashariki ya Kati.

Marekani hapendi jinsi Uchina anavyojisogeza kwenye ukanda wa pembe ya Afrika hadi kwenye nchi za Maghrib (The Maghreb), hivyo huu mgogoro siyo suala la maji peke yake: Kutengeneza ushawishi na nguvu vinahusika, maana kama bwawa hili likiisha, Ethiopia ndiyo litakuwa taifa mabalo linauza nishati ya umeme kwa nchi jirani kama Kenya, Sudan, Somali na Eritrea.

NB: Hata Tanzania ingeamua kujenga bandari ya Bagamoyo pamoja na Uchina ni lazima tungetafutiwa sababu kama ambavyo Ethiopia ametafutiwa sababu. Wafaransa husema C'est La Vie
 
Sidhani kama Sudan itakubali Misri itumie anga yake kuishambulia Ethiopia labda wahongwe.
 
Sidhani kama Sudan itakubali Misri itumie anga yake kuishambulia Ethiopia labda wahongwe.
Abiy alipoingia madarakani kati ya vipaumbele vyake ni mkataba na hasimu wao wa miaka mingi; Eritrea; mkataba uliopelekea kutunukiwa Tuzo ya Nobel mapema sana.

Yule mhabeshi ni akili nyingi sana nahisi ni kile kizazi cha kale cha Yakobo kilichohamia Ethiopia. Iko hivi, lengo la mkataba ule ni kupunguza uwezekano wa Egypt kushambulia.kutokea the nearest sea point Eritrea. In short.Ethiolia nao hawajalala, all options are on the table. WAMEJIANDAA at least to their level best.
 
Back
Top Bottom