Bwana Yule haambiliki/Hashauriki

Bwana Yule haambiliki/Hashauriki

ntemintale

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2016
Posts
956
Reaction score
1,878
Aliambiwa/alishauriwa kodi ya VAT kwenye mizigo iendayo nje (Transit Goods) itakausha Bandari, badala yake akavunja Bodi ya Mapato.

Aliambiwa/alishauriwa kuwa, kuzuia kuingiza Sukari kutasababisha uhaba wa sukari, badala yake akawasingizia wafanyabiashara eti wameficha sukari.

Aliambiwa/alishauriwa afuate Katiba na sheria za nchi, badala yake akaleta Sheria ya Habari kandamizi.

Aliambiwa/alishauriwa azingatie Demokrasia ya Vyama vingi na Aheshimu mihimili ya dola, badala yake, akazuia Bunge live.

KUSIKILIZA USHAURI KUNAONGEZA BUSARA
 
Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa Bwana yule.

Alichukua fedha za umma katika mabenki nchini kule na kuzificha kwenye mashelfu Ya benki kuu ile. Matokeo yake uchumi umeyumba.

Alitamani jeshi la malaika lishuke kutoka mbinguni kule ili lizime mitandao ile ya kijamii.

Alipenda kusifiwa, kuogopwa na mitume wake kwa nyimbo, kauli, mipasho na misemo.

"mimi sijaribiwi" hii ndio kauli kutoka kwa Bwana yule iliyo waogopesha watu pinzani katika nchi ile.
 
Kupanga ni kuchagua na uongozi ni kuonyesha njia. Kila Jambo Lazima Liwe Na Mahala Pa Kuanzia.

Tanzania Mpya Inakuja, Nenda TIC na BRELA ukaangalie idadi ya wawekezaji na makampuni yanavyomiminika.

Hasira Zenu Za Kukosa Upigaji Dili Na Kutumbuliwa Ziacheni Huko Huko Makwenu Kwa Wenza Wenu. Msituharibie Rais Wetu Kipenzi Anayetujali Wanyonge.

Amepandisha Bei Ya Korosho Na Pamba Haijawahi Kutokea. Amekuza Na Kuboresha Nidhamu Na Uwajibikaji Haijawi Kutokea. Viva Magufuli Viva!
 
Hahaha! Hasira Za Kutumbuliwa Hizi.

Ulitaka Uendelee Kufanya Semina Zisizo Na Tija? Kufanya Safari Za Nje Zisizo Na Tija? Kupata Mishahara Hewa?

Kukopa Kwenye Mabenki Halafu Urejeshe Fedha Za Umma?
Ww Uendelee Kutumia Cheti Fake Uachwe Tu?

Mbona Hamuelezi Rais Ameporomosha vp uchumi? kakukataza kufanya kazi? kakutaza kufanya biashara? kakupunguzia mshahara? amezuia upigaji! ulitaka awaache muendelee kupiga? ebo!!
 
Kupanga ni kuchagua na uongozi ni kuonyesha njia. Kila Jambo Lazima Liwe Na Mahala Pa Kuanzia. Tanzania Mpya Inakuja, Nenda TIC na BRELA ukaangalie idadi ya wawekezaji na makampuni yanavyo miminika. Hasira Zenu Za Kukosa Upigaji Dili Na Kutumbuliwa Ziacheni Huko Huko Makwenu Kwa Wenza Wenu. Msituharibie Rais Wetu Kipenzi Anayetujali Wanyonge. Amepandisha Bei Ya Korosho Na Pamba Haijawahi Kutokea. Amekuza Na Kuboresha Nidhamu Na Uwajibikaji Haijawi Kutokea. Viva Magufuli Viva!
Ametujali sisi waathirika wa tetemeko na kutunyag'anya mahema tuliyopewa sasa tunajifunika migomba, Viva, amechukua hata hicho kidogo tulicholetewa eti kimejenga shule tena Omumwani tuliyoijenga kwa kahawa zetu sisi tangu miaka ile ili tusomeshe watoto wetu bila siasa, viva, nanyongonyea nikisema viva kwa sauti ya kuzimiaaaaa viva.
 
wapigaji wanatamani wangeoteshwa juu ya ujio wa bwana huyu. nahisi wangeuza na nchi yenyewe kupoteza ushaidi
 
Hahaha! Hasira Za Kutumbuliwa Hizi. Ulitaka Uendelee
Kufanya Semina Zisizo Na Tija?
Kufanya Safari Za Nje Zisizo Na Tija?
Kupata Mishahara Hewa?
Kukopa Kwenye Mabenki Halafu Urejeshe Fedha Za Umma?
Ww Uendelee Kutumia Cheti Fake Uachwe Tu?

Mbona Hamuelezi Rais Ameporomosha vp uchumi? kakukataza kufanya kazi? kakutaza kufanya biashara? kakupunguzia mshahara? amezuia upigaji! ulitaka awaache muendelee kupiga? ebo!!
Hapa kazi tu
 
Bwana YULE ndio nn n anatoka DUNIA ipi?maana mm sijamuelewa uyo bwana yule n kila nikijaribu ku-google Haruna jina hilo
 
Aliambiwa awe anasoma post zinazomkosoa JF maana ndizo zitakozomjenga na kumpabdira na muelekeo na mustakabali wa walalahoi yeye kutwa yuko chit chat, MMU na jukwaa LA jokes.
 
Kupanga ni kuchagua na uongozi ni kuonyesha njia. Kila Jambo Lazima Liwe Na Mahala Pa Kuanzia. Tanzania Mpya Inakuja, Nenda TIC na BRELA ukaangalie idadi ya wawekezaji na makampuni yanavyo miminika. Hasira Zenu Za Kukosa Upigaji Dili Na Kutumbuliwa Ziacheni Huko Huko Makwenu Kwa Wenza Wenu. Msituharibie Rais Wetu Kipenzi Anayetujali Wanyonge. Amepandisha Bei Ya Korosho Na Pamba Haijawahi Kutokea. Amekuza Na Kuboresha Nidhamu Na Uwajibikaji Haijawi Kutokea. Viva Magufuli Viva!

Bravoooooooooo
 
Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa Bwana yule.

Alichukua fedha za umma katika mabenki nchini kule na kuzificha kwenye mashelfu Ya benki kuu ile. Matokeo yake uchumi umeyumba.

Alitamani jeshi la malaika lishuke kutoka mbinguni kule ili lizime mitandao ile ya kijamii.

Alipenda kusifiwa, kuogopwa na mitume wake kwa nyimbo, kauli, mipasho na misemo.

"mimi sijaribiwi" hii ndio kauli kutoka kwa Bwana yule iliyo waogopesha watu pinzani katika nchi ile.
Anapenda kusifiwa. Yeye ni Mr Misifa.
 
Kupanga ni kuchagua na uongozi ni kuonyesha njia. Kila Jambo Lazima Liwe Na Mahala Pa Kuanzia. Tanzania Mpya Inakuja, Nenda TIC na BRELA ukaangalie idadi ya wawekezaji na makampuni yanavyo miminika. Hasira Zenu Za Kukosa Upigaji Dili Na Kutumbuliwa Ziacheni Huko Huko Makwenu Kwa Wenza Wenu. Msituharibie Rais Wetu Kipenzi Anayetujali Wanyonge. Amepandisha Bei Ya Korosho Na Pamba Haijawahi Kutokea. Amekuza Na Kuboresha Nidhamu Na Uwajibikaji Haijawi Kutokea. Viva Magufuli Viva!
Wawekezaji gani hao wanaodumaza Uchumi wa nchi. Idadi ya Wawekezaji wapiga dili mnaowapa mikataba ya miaka 100. Mmeishiwa pumzi. Mmechoka.
 
wapigaji wanatamani wangeoteshwa juu ya ujio wa bwana huyu. nahisi wangeuza na nchi yenyewe kupoteza ushaidi
Kweli wapiga dili wa nyumba za Umma, wanunuzi wa bombardier na meli Chakavu inayoozoea bahari ya Hindi. Wasingesalimika aisee.
 
Hahaha! Hasira Za Kutumbuliwa Hizi. Ulitaka Uendelee
Kufanya Semina Zisizo Na Tija?
Kufanya Safari Za Nje Zisizo Na Tija?
Kupata Mishahara Hewa?
Kukopa Kwenye Mabenki Halafu Urejeshe Fedha Za Umma?
Ww Uendelee Kutumia Cheti Fake Uachwe Tu?

Mbona Hamuelezi Rais Ameporomosha vp uchumi? kakukataza kufanya kazi? kakutaza kufanya biashara? kakupunguzia mshahara? amezuia upigaji! ulitaka awaache muendelee kupiga? ebo!!
wewe ropoka tu la hali ni mbaya sana hakuna mzungukowa fedha
 
Back
Top Bottom