Nani anamjua huyu mzee hapa mjini jamani, Kampuni yake inaitwaje?
Hii kazi ya Majoka tumwachue Prof Maji Marefu atatoa ufafanuzi maana juzi kasema mwenyewe Mbungeni kuwa wapo Sawa na Prof Muhongo .Huyu Magesa ni kada mkubwa wa chadema..
Watanzania tunatia aibu kwa uchawi.
Dunia haina huruma aiseh, huyu mzee pichani ndo mmliki wa hilo chatu apo pembeni, ambapo kwa mujibu wake anadai ni mtoto wake wa kwanza.
mpaka sasa watu watatu wamefariki walioshiriki kuua huyo nyoka
SIO KWELI
watu mnamzushia tu, ameshasema hajui chochote kuhusu huyo chatu
tuache ujinga ndio maana tunabaki kuwa taifa la watu maskini
SIO KWELI
watu mnamzushia tu, ameshasema hajui chochote kuhusu huyo chatu
tuache ujinga ndio maana tunabaki kuwa taifa la watu maskini
tunapo elekea na hizi cv kuna siku mtakuja kuomba hata cv ya sisimizi au inzi.tunaomba cv ya magesa..............Lema anazungumziaje tukio hili
IQ ndogo hukomalia man made drama.... Wewe ni mchemfuKama hujui kitu soma thread piga kimya kisha pita iviiii!
Tulianza ukawa, ikaja escrow, wakajaribu kudivert na komba, diamond, machemli na sasa chatu bila kusahau dengueInaonekana iq yako ni above average ya mtanzania..
Mambumbumbu wanakalia mawazo ya kigiza giza tu muda wote
Iq ndogo nyingine hii.... Lema azungumze ili iwejetunaomba cv ya magesa..............Lema anazungumziaje tukio hili