Huyu Magesa ni kada mkubwa wa chadema..
Teh teh teh! dah kumbe huyu jamaa ni mchungaji duh!
Mh...mkuu hizi habari zina ukweli wowote?mpaka sasa watu watatu wamefariki walioshiriki kuua huyo nyoka
hapana hapo nyumbani kwake kuna bendera ya ccmhuyu magesa ni kada mkubwa wa chadema..
mpaka sasa watu watatu wamefariki walioshiriki kuua huyo nyoka
Nyie mnaamini kabisa mtu anaweza kugeuzwa chatu?!!