maguzumasese2005
JF-Expert Member
- May 1, 2014
- 642
- 171
Mh...mkuu hizi habari zina ukweli wowote?
Ametunga huyu kama machadema
Mh...mkuu hizi habari zina ukweli wowote?
Nina Yesu binamu, haniwezi
Wewe kama huwajui walimwengu ni bora usiamini kbs lakini hivi vitu vipo.
Watanzania tunatia aibu kwa uchawi.
Nyie watu wa kanda hyo mnatisha sana ha ha ha aisee kuna mgeni kasema anakuja leo kukufuata
Hakuna kitu kinachoshindikana chini ya jua, kuna mkasa mmoja ivi aliimbaga bahati bukuku kuhusu mtoto ZINDUNA ambaye alipatikana kwa nguvu za giza, baadae alipoombewa akageuka chatu , kwa hiyo haya mambo yapo mkuu, hii ilitokea uko mwanza nasikia
wapi sasa na kanda gani unaisemea ujue nayojea gamboshi lakini naishi Arusha angalia kijana nitakugeuza joka...
Kuna kuamini kwa njia 2.Unamiini haya mambo hayapo?au huamini katka hayo mambo?Ndio, mimi wa mwisho kuamini
Na mama yake chatu tumwone hapa kwa anayemjua!
Hata nchi nyingine wapo,kuna yule wa Ghana amesema ndiye anaye mloga cr7Watanzania tunatia aibu kwa uchawi.
Huyu Magesa ni kada mkubwa wa chadema..
Kuna kuamini kwa njia 2.Unamiini haya mambo hayapo?au huamini katka hayo mambo?