Bw. Lowassa, A Bitter Pill to Swallow

If it rings true,but would you rather have an armed thug as a friend because he helps you with what he robs others? this is rhetorical one don't answer as we all know the outcome!
 

Kuhusu Nyerere kumkataa au kumkubali hakiwezi kuwa kigezo tosha kwa sasa hivi kwetu kumkubali au kumkataa kuwa Raisi, kwa maana maraisi wetu wote ukitoa Bw.Kikwete, (Bw. Mwinyi na Bw. Mkapa) waliletwa na kukubaliwa na yeye Bw.Nyerere mwenyewe tena wengine ni kama kutulazimisha tuwakubali tuu kwa maana tulikuwa hatuwajui lakni matokeo ya hao walioletwa na Nyerere sidhani kama mazuri sana, kwa hiyo hiyo hoja haisimami, labda kama kuna nyingine!
 

Kuhusu Nyerere kumkataa au kumkubali hakiwezi kuwa kigezo tosha kwa sasa hivi kwetu kumkubali au kumkataa kuwa Raisi, kwa maana maraisi wetu wote ukitoa Bw.Kikwete, (Bw. Mwinyi na Bw. Mkapa) waliletwa na kukubaliwa na yeye Bw.Nyerere mwenyewe tena wengine ni kama kutulazimisha tuwakubali tuu kwa maana tulikuwa hatuwajui lakni matokeo ya hao walioletwa na Nyerere sidhani kama mazuri sana, kwa hiyo hiyo hoja haisimami, labda kama kuna nyingine!
 

Mwizi ni mwizi tu!.. Huwezi kuwa na DOUBLE STANDARDS uadilifu wake unatiliwa shaka ni lazima akae pembeni. Amekuwa waziri muda mrefu. Angeweza kuwakomboa watz wakati huo, hivi sasa ni too late!.. hafai kupewa kazi hiyo!..
 
linganisha lowassa alivyokuwa waziri mkuu na huyu mtoto wa mkulima au sumaye

walio huru wa fahamu zao katika maswala ya siasa ndiyo wanaweza kuwa na mawazo kama yako big up sana. Wengi itikadi za siasa kishabiki, chuki, husda, wivu na majigambo vimekula ufahamu wao kiasi kwamba hata yenye afadhari kwao ni mbaya Still Mr Lowassa is a place holder of a Gud PM than Mtoto wa Mkulima
 

Kama una maslahi binafsi na EL mtumie kuongoza kampuni yako coz aliyosema yamekugusa. Lowasa ni FISADI na kama si kweli aseme hadharani ninani aliyehusika na tuhuma ya richmond ili angalau watu wamuone anafaa kupewa uwenyekiti wa kitongoji na si Taifa. HANA UWEZO WA KUONGOZA NCHI YEYOTE HAYA ANAONGEA KWA KUWAFURAHISHA MBUMBU. OVER.
 
Lowassa once said "Mimi na Rais Kikwete hatukukutana barabarani". REAL?!?!?!?!



Dr. Huxtable (Bill Cosby show) said ‘SHOW ME YOUR FRIENDS AND I WILL SHOW YOU YOUR FUTURE’
Lowasa was a mistake then.he is a scandal now,he will be a disaster tomorrow .....mark my words
 
Uzuri wa mtu unapimwa kwa hotuba?


Inashangaza yaani mkuu......jamaa anaitwa Kijakazi lakini

Mbona ni simple home economic tu hata wakati wa mvua ni vema kununua mkaa mwingi kwani ni wazi utapanda bei tuuu
 
they preach about water while they drink wine
wale wale tuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Uzuri wa mtu unapimwa kwa hotuba?

ENL ni mpenda kugawanya kuliko kuunganisha. Alikuwa SUA akasema eti wafugaji waingizwe kwenye katiba, hivi katiba wanaingizwa makundi au watanzania? Mi bado napingana na namna hii ya kututenganisha watanzania kwa makundi makundi eti wafugaji, wavuvi, wakulima, wachimba dhahabu n.k huku ni kutugawanya. Taifa linapaswa kutambua uwepo wa makundi mbalimbali lakini hivi mi nikifuga nami nitatambulika kama mmasai? Nikilima nitatambulika kama nani? Nikivua nitatambulika kama nani? Na je kufuga ni hadi ufuge ng'ombe tu, mbona kuna wafugaji wa samaki kibao huku kwetu kwa akina Mutarubukwa? Nao waombe waingizwe peke yao kwenye katiba? Watanzania tukatae hoja nyepesi zinazolenga kutugawa kama zinavyokuja tena za akina Ponda na mkuu wa kaya juu ya dini tuwakatae akina ENL na JK katika agenda zao mbaya na mufilisi
 

kijakazi mbona unahangaika sana kulisafisha hili fisadi tu, hili li nywele nyeupe halifai kuongoza hili taifa. kama lilikubali mpango wa kutusaliti watanzania, si ajabu likaja likakubali kutumiwa hata na waingereza au wamarekani kutusaliti tena. simba ni simba tu, hata akiloana, huwezi kumuita mbwa. hili linywele nyeupe sio la kuamini hivihivi, kwani yeye aliandikiwa na Mwenyezi Mungu kwamba kwenye maisha yake lazima awe rais?? aende zake kule, wapo watanzania wengine ambao hawana walakini wala mushkeli wanaoweza kutuongoza, sio huyu nywele nyeupe. mimi sina imani na huyu jamaa, uwezekano wa kutugeuka ni mkubwa, na by that time, tutakuwa hatuna pa kukimbilia, HIVI KWELI WATANZANIA HATUNA WATU WENGINE WA KUTUONGOZA?? NI LAZIMA HUYUHUYU TU NYWELE NYEUPE, kwa nini wanzania mnamng'ang'ania huyuhuyu tu.
 
Kama umetumwa na Lowassa au unajikomba umeshindwa hata kabla ya kuanza. Unadhani watanzania hawana akili kiasi cha kupwakia uchafu na urongo wako? Katafute kazi nyingine ufanye hii huiwezi. Kudhani kuwa Lowassa atawashawishi watanzania wamchague akawaibie ni sawa na kujaribu kumfufua maiti. Kama ni uganga wa kienyeji basi umekwama vilivyo. Lowassa is a dead meat politcally. He is praying pro mora finis jambo ambalo haliwezekani.
 
Mwanasiasa siku zote huongea mambo anayotaka mwananchi ayasikie swahiba wake si ndio alihaidi maisha bora kwa kila mtanzania yeye alikuwa na nafasi nzuri kutuonyesha kwa vitendo nini anafanya alipokuwa waziri mkuu anajisifia kwa shule za kata ambazo mpaka sasa hivi hazina walimu wa kutosha na kama zingekuwa nzuri mbona hakuna mtoto hata mmoja wa kiongozi anayesoma shule hizo.aliharibu kwa kuleta walimu wa voda fasta,alishiriki kumchafua Dk salim kupitia magazeti ili mradi wapange safu yao ya uongozi kitendo ambacho mpaka sasa kinaigharimu nchi.Kupitia vodacom ni miongoni mwa wakewpaji wakubwa wa kodi kwa kifupi hafai aende kwa mchungaji Joshua au atumie vyomba vya habari na wapambe wake ameshachafuka ndio maana Mwalimu Nyerere alimkataa kwani alikuwa anamjua kwa ndani
 

Kama nyie ndiyo type ya ma strategist aliyenao na anawategemea kumfikisha anakotaka kufika basi kazi anayo!
 
Lowassa alijitahidi kuanzisha shule za kata
 
Kama nyie ndiyo type ya ma strategist aliyenao na anawategemea kumfikisha anakotaka kufika basi kazi anayo!

wacha kupindisha mambo, wapi nimesema mimi ni strategist wa Bw. Lowasa? Nimesema nimeangalia TV alikuwa anahojiwa nikavutiwa na alichokisema na uwezo wake wa kujibu maswali (kulingana na mwono wangu) sasa hayo mambo ya ustrategist yametoka wapi?

Mbona unabehave ki-CCm kwamba kwa kuwa sikubaliani naye wacha nimtukane au nimpige risasi! Hatufiki hivyo!

 


Umesema kweli kabisa na mimi binafsi sitarajii lolote la maana kutoka kwa EL kama atakuwa Rais. Hivi upande wake amejikusanya na kina nani? Nani kasema ni lazima yeye awe Rais kwa gharama yoyote ile? Ukiona analazimisha sana pengine kuna kundi ambalo linamtuma akawatumikie...
 
Kati yake na waliopo atakauwa hatekelezi ilani ya CCM?Nitampenda kumwona katika mechi za mchangani huko CCM akiingia ktk mikutano 6 akiwa anacheza show .Najua atamtisha vya kutosha na itakuwa mechi nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…