gwamaka aswile
Senior Member
- Mar 26, 2015
- 186
- 106
kumekuwa na ongezeko kubwa la matukio ya wizi wa uvunjaji wa maduka na fremu katika eneo la buza.
ni wazi kuwa ingependeza viongozi wakahimiza program maalum ya ulinzi shirikishi ikafanyika
klwa wakazi wa buza hasa kuanzia maeneo ya buza kanisani watakuwa mashahidi wa hii hali,
ni vyema hatua za haraka na za makusudi zifanyike kukomesha matukio hayo
ni wazi kuwa ingependeza viongozi wakahimiza program maalum ya ulinzi shirikishi ikafanyika
klwa wakazi wa buza hasa kuanzia maeneo ya buza kanisani watakuwa mashahidi wa hii hali,
ni vyema hatua za haraka na za makusudi zifanyike kukomesha matukio hayo