Buyobe: Kikundi cha Mafwele kitajuta

Buyobe: Kikundi cha Mafwele kitajuta

Haina shida katika operation ya kuua wale nyumbu wahalifu wa October 29 wako na watu wema waliuwawa kimakosa hilo linajulikana ilimradi nyumbu wahalifu walikufa wengi zaidi hilo linatosha, amani ya nchi hii italindwa kwa gharama yoyote , sahivi nyumbu mmeshika adabu mmebaki kuimba taarabu mitandaoni

Jumapili nenda kanisani ujifanye bubu safari hii uombewe na mwamposa uongee upewe 10000 yako ulale mbele hizo si ndio ajira CCM wanazopenda kusikia mnazifanya
 
Haina shida katika operation ya kuua wale nyumbu wahalifu wa October 29 wako na watu wema waliuwawa kimakosa hilo linajulikana ilimradi nyumbu wahalifu walikufa wengi zaidi hilo linatosha, amani ya nchi hii italindwa kwa gharama yoyote , sahivi nyumbu mmeshika adabu mmebaki kuimba taarabu mitandaoni
Usichokijua waandamanaji wengi hawakufa. Waliokufa wengi ni ambao hawakuhusika ndo maana wamekufa kama kuku. Wengi wamefia mitaani huko ambako Polisi waliwafata majumbani kuwaua.
Wewe nadhani umesimuliwa!
 
Hivi kwanza buyobe yupo nchini? Mafwele naye ni kama kibaka tu, hizo kazi za utekaji na uuaji zipo kila nchi, ila ni very professional, huwezi kuta kiongozi wa hilo genge anajulikana hadu na watoto wadogo mitaani, hii nchi mambo yake yanaenda unprofessional, eti jasusi anaenda kuteka wavuta bangi,halafu yeye mwenyewe anaenda kuwa interrogate, mara eti mafwele anamuambia mateka wake Agatha atuahire atampa mimba, fakin kabisa hii nchi
🤣🤣 Ile Ardhi ya nidhamu pale Monduli kila siku wanakukumbusha we train you to be a professional killer.🤣🤣
 
Usichokijua waandamanaji wengi hawakufa. Waliokufa wengi ni ambao hawakuhusika ndo maana wamekufa kama kuku. Wengi wamefia mitaani huko ambako Polisi waliwafata majumbani kuwaua.
Wewe nadhani umesimuliwa!
Kama hawakufa nyumbu mnajiliza nini ? Nyumbu mlikua mnatoka kuchoma na kuiba na kukimbilia ndani hukohuko mkafatwa kuchapwa risasi na hilo ndo mnastahili nyumbu msio na akili
 
Hakuna kosa ambalo kikundi cha utekaji cha Mafwele kitajutia kama kunipeleka kwenye ngome yao, kujionea unyama wao, bila kuficha nyuso zao, chini ya usimamizi wa Mafwele mwenyewe aliyekuwa akinipa ahadi za kutoiona tena kesho.

Msela asili yake noma ila kwenye noma msela hakai.

Pi soma

View attachment 3543115
Mwaga upupu mapema kabla hawajakuchukua Tena😀
 
Hivi kwanza buyobe yupo nchini? Mafwele naye ni kama kibaka tu, hizo kazi za utekaji na uuaji zipo kila nchi, ila ni very professional, huwezi kuta kiongozi wa hilo genge anajulikana hadu na watoto wadogo mitaani, hii nchi mambo yake yanaenda unprofessional, eti jasusi anaenda kuteka wavuta bangi,halafu yeye mwenyewe anaenda kuwa interrogate, mara eti mafwele anamuambia mateka wake Agatha atuahire atampa mimba, fakin kabisa hii nchi
Tanzania "proffessionalism" ipo kwenye private sector pekee.
Kwenye TanPol hata kile wanachotakiwa kufundishwa hawafundishwi, wanafundishwa uhuni wa kimafia.
Unategemea weledi gani kutoka kwa mtu kilaza (division 4)!!???
 
Hivi huyo Mafwele mkerewe kutajwa jina na watu wengi kwenye kila uchafu anajisikiaje? Na yeye ana familia, maombi ya watu aliowaua ndugu zao hayataenda bure,na wakati Mungu ni wakati sahihi,
Hizi kazi za Umafia kwa ajili ya manufaa ya wanasiasa si nzuri kwa ustawi wa mtu na familia yake, kisasi kinawafuata mpaka vitukuu,
 
Back
Top Bottom