Buyobe: Kikundi cha Mafwele kitajuta

Buyobe: Kikundi cha Mafwele kitajuta

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
2,711
Reaction score
6,474
Hakuna kosa ambalo kikundi cha utekaji cha Mafwele kitajutia kama kunipeleka kwenye ngome yao, kujionea unyama wao, bila kuficha nyuso zao, chini ya usimamizi wa Mafwele mwenyewe aliyekuwa akinipa ahadi za kutoiona tena kesho.

Msela asili yake noma ila kwenye noma msela hakai.

Pi soma

Screenshot_20260213-090630_1.jpg
 
Hakuna kosa ambalo kikundi cha utekaji cha Mafwele kitajiutia kama kunipeleka kwenye ngome yao, kujionea unyama wao, bila kuficha nyuso zao, chini ya usimamizi wa Mafwele mwenyewe aliyekuwa akinipa ahadi za kutoiona tena kesho.

Msela asili yake noma ila kwenye noma msela hakaiView attachment 3543115
Huyo Buyobe ndiye nani, ungetoa muhtasari kidogo.
 
Hivi kwanza buyobe yupo nchini? Mafwele naye ni kama kibaka tu, hizo kazi za utekaji na uuaji zipo kila nchi, ila ni very professional, huwezi kuta kiongozi wa hilo genge anajulikana hadu na watoto wadogo mitaani, hii nchi mambo yake yanaenda unprofessional, eti jasusi anaenda kuteka wavuta bangi,halafu yeye mwenyewe anaenda kuwa interrogate, mara eti mafwele anamuambia mateka wake Agatha atuahire atampa mimba, fakin kabisa hii nchi
 
Hakuna kosa ambalo kikundi cha utekaji cha Mafwele kitajiutia kama kunipeleka kwenye ngome yao, kujionea unyama wao, bila kuficha nyuso zao, chini ya usimamizi wa Mafwele mwenyewe aliyekuwa akinipa ahadi za kutoiona tena kesho.

Msela asili yake noma ila kwenye noma msela hakaiView attachment 3543115
More details please, kama iko nusu mkate vile.
 
Ukichochea uhalifu huna haki ya kuendelea kuwa hai inatakiwa upigwe risasi kama mlivyopigwa Oct 29
 
Hivi kwanza buyobe yupo nchini? Mafwele naye ni kama kibaka tu, hizo kazi za utekaji na uuaji zipo kila nchi, ila ni very professional, huwezi kuta kiongozi wa hilo genge anajulikana hadu na watoto wadogo mitaani, hii nchi mambo yake yanaenda unprofessional, eti jasusi anaenda kuteka wavuta bangi,halafu yeye mwenyewe anaenda kuwa interrogate, mara eti mafwele anamuambia mateka wake Agatha atuahire atampa mimba, fakin kabisa hii nchi
mkuu hiyo thinking uliyo nayo ipo sahihi kabisa, ni kama watu wanaopewa kazi hii nchi ziwe kazi halali au haramu wote wanakua hawana uwezo nazo.

case study: Lissu anaponaje ile attempt? au yule mcheza kamali waliyemtupa kule katavi?

kama mamlaka zinafanya kazi chafu basi zihakikishe wanapewa watu wenye uwezo
 
Hivi kwanza buyobe yupo nchini? Mafwele naye ni kama kibaka tu, hizo kazi za utekaji na uuaji zipo kila nchi, ila ni very professional, huwezi kuta kiongozi wa hilo genge anajulikana hadu na watoto wadogo mitaani, hii nchi mambo yake yanaenda unprofessional, eti jasusi anaenda kuteka wavuta bangi,halafu yeye mwenyewe anaenda kuwa interrogate, mara eti mafwele anamuambia mateka wake Agatha atuahire atampa mimba, fakin kabisa hii nchi
Kampeni tu dhidi ya mafwele
 
Ukichochea uhalifu huna haki ya kuendelea kuwa hai inatakiwa upigwe risasi kama mlivyopigwa Oct 29
Oct 29 kuna ccm kindakindaki walikula chuma.

Wengine walitoka kupiga kura tena wakimchagua huyo huyo lakini walikula chuma.

Haya mambo sio ya kuyafurahia saaana.

Kwa maana huwezi jua siku wala saa, mvua hata wewe inaweza ikakunyeshea na maisha yao yakaendelea kama kawaida.
 
Oct 29 kuna ccm kindakindaki walikula chuma.

Wengine walitoka kupiga kura tena wakimchagua huyo huyo lakini walikula chuma.

Haya mambo sio ya kuyafurahia saaana.

Kwa maana huwezi jua siku wala saa, mvua hata wewe inaweza ikakunyeshea na maisha yao yakaendelea kama kawaida.
Haina shida katika operation ya kuua wale nyumbu wahalifu wa October 29 wako na watu wema waliuwawa kimakosa hilo linajulikana ilimradi nyumbu wahalifu walikufa wengi zaidi hilo linatosha, amani ya nchi hii italindwa kwa gharama yoyote , sahivi nyumbu mmeshika adabu mmebaki kuimba taarabu mitandaoni
 
Hivi kwanza buyobe yupo nchini? Mafwele naye ni kama kibaka tu, hizo kazi za utekaji na uuaji zipo kila nchi, ila ni very professional, huwezi kuta kiongozi wa hilo genge anajulikana hadu na watoto wadogo mitaani, hii nchi mambo yake yanaenda unprofessional, eti jasusi anaenda kuteka wavuta bangi,halafu yeye mwenyewe anaenda kuwa interrogate, mara eti mafwele anamuambia mateka wake Agatha atuahire atampa mimba, fakin kabisa hii nchi
Kila anaetekwa/ kamatwa lazima jamaa ajionyeshe mbele yake na kumpiga mikwala
 
Haina shida katika operation ya kuua wale nyumbu wahalifu wa October 29 wako na watu wema waliuwawa kimakosa hilo linajulikana ilimradi nyumbu wahalifu walikufa wengi zaidi hilo linatosha, amani ya nchi hii italindwa kwa gharama yoyote , sahivi nyumbu mmeshika adabu mmebaki kuimba taarabu mitandaoni
Kwani walikua wanalinda amani au wanalinda wizi wa kura waliofanya
 
Back
Top Bottom