Ghost
JF-Expert Member
- Apr 20, 2010
- 428
- 53
Naomba MOD utuwekee ki button cha UNLIKE kama kale ka like, kwa sababu kuna posts au comments ambazo zinaboa kweli, badala ya ku-reply with history, unabonyeza hiyo UNLIKE.
Infact hii itatusaidia hata kujua members wanao post 'pumba' kulingana na UNLIKE ngapi wamepata.
This is just my suggestion!:becky:
Infact hii itatusaidia hata kujua members wanao post 'pumba' kulingana na UNLIKE ngapi wamepata.
This is just my suggestion!:becky: