Kwa utumishi wa jeshi ninavyo ujua mm...Pale ilionekana kama yameisha hivi kwenye media...ila sipati picha hilo seke seke la uyo kamanda alichofanyiwa...atakuwa alipitia wakati mgumu sana maana kuondolewa nyota moja haivuliwi kama unatoa taji la sherehe...inatolewa hiyo nyota uku unaomba ugewe maji ya kunywa
Apewe Maji Ya Kunywa Aupooze Moyo Kwa Maumivu Ama?Kwa utumishi wa jeshi ninavyo ujua mm...Pale ilionekana kama yameisha hivi kwenye media...ila sipati picha hilo seke seke la uyo kamanda alichofanyiwa...atakuwa alipitia wakati mgumu sana maana kuondolewa nyota moja haivuliwi kama unatoa taji la sherehe...inatolewa hiyo nyota uku unaomba ugewe maji ya kunywa
Wakati mwingine utakuta huyu jamaa wala sio jeuri isipokuwa hii ni sura yake tu ndivyo alivyoumba na MUNGU
Uongo uongo ni tabia za kike. Kama ni mwanaume basi kuna shida mahali! Unaanzisha Uzi kufurahia anguko la mtu mwenye haki ili upate nini? Akishushwa cheo unapewa wewe? Kwa taarifa yako na Mazuzu wenzio mnayemsema anamalizia mafunzo ya nyota ya 3 (ASP), April 8 anavishwa rasmi.
Aliipata hiyo nyota ya 3???Uongo uongo ni tabia za kike. Kama ni mwanaume basi kuna shida mahali! Unaanzisha Uzi kufurahia anguko la mtu mwenye haki ili upate nini? Akishushwa cheo unapewa wewe? Kwa taarifa yako na Mazuzu wenzio mnayemsema anamalizia mafunzo ya nyota ya 3 (ASP), April 8 anavishwa rasmi.
Sent using Jamii Forums mobile app