Butimba Teachers College

Yeah, Naona Udom Wanazngua Mkopo , Lakn Uzr Nliapply Wakanchagua Butmba Kama Mkopo Mkorogo Naenda Butmba Faster
 
Yeah, Naona Udom Wanazngua Mkopo , Lakn Uzr Nliapply Wakanchagua Butmba Kama Mkopo Mkorogo Naenda Butmba Faster

butimba umechaguliwa diploma ya awali au primary na je tareh ya kulipot lini
 
mi niko bunda ttc naingia mwaka wa 2 ila butimba mazingira yako fresh na sheria za pale hazitofatian na za bunda kias hamna complication ni wewe tu
 
Nko Diploma In Primary Education But Nlikuwa Nmeweka Butmba, Bunda Na Tabora Wakanchagua Butmba Teachers College
 
1.rocall saa 11:30 kila wikend na sku za skukuu
2.kuhudhuria mpango kazi kila j3,alhmis na jumamos
3.kusafisha eneo la bweni na eneo la taaluma
4.kuhudhuria clubs kila j5
5.ukitoka eneo la chuo na sare za chuo
 
1.rocall saa 11:30 kila wikend na sku za skukuu
2.kuhudhuria mpango kazi kila j3,alhmis na jumamos
3.kusafisha eneo la bweni na eneo la taaluma
4.kuhudhuria clubs kila j5
5.ukitoka eneo la chuo na sare za chuo
Kwa hiz sheria me ningetimuliwa mapema tu, ila komaen mmalize msizingue
 
No, 1st Year Mtatutesa Au?

kule ni chuo sio km olevel kutesana kule kila mtu anamuheshim mwenzie awe mdogo au mkubwa kitakachokutesa ni mfuko wako maana kule kuna watu wana hela za hataar kwo km hauna kitu mfukon hata dem hutokaa umpate, hata ukitoka nae kwenu utanyanganywa
 
Kwa mwenye kujua ipi ni bora zaid kwa mtu mwenye nia ya kujiendeleza zaidi kati dip in primary educ inayotolewa vyuo vikuu na ile inayotolewa kwenye hizi TTC mfano Butimba Mpwapwa nk
 
Wakuu mwenye info.. za shinyanga teachers college hasa kuhusu tarehe ya kuripoti na joining instruction atujuze pia "natanguliza shukrani kwa mwenye msaada"
 
Wakuu mwenye info.. za shinyanga teachers college hasa kuhusu tarehe ya kuripoti na joining instruction atujuze pia "natanguliza shukrani kwa mwenye msaada"

vyuo vyote vya ualim vinafunguliwa kesho tareh 9/11
 
Kwa mwenye kujua ipi ni bora zaid kwa mtu mwenye nia ya kujiendeleza zaidi kati dip in primary educ inayotolewa vyuo vikuu na ile inayotolewa kwenye hizi TTC mfano Butimba Mpwapwa nk

vyuo vya ualim km butimba ndo bora coz kwanza ndo vyuo maalum kwa hiyo elim hv vyuo vikuu wanaweka ili kuongeza idad ya wanavyuo pili vyuo vikuu vipo after money tatu vyuo vikuu vina wataalam wa degree ila vyuo vya ualim ni wataalam walosomea kitu unachoenda kujifunza nne vyuo vikuu vimejaa migogoro mbalimbali km vile kukosa boom,mikopo wakat kule ukishalipa ada umemaliza msos na kulala ni bure mwisho vyuo vikuu wanafundisha ili mradi ipite uelewa usielewe shaur lako NADHAN UMENISOMA BRO
 
vyuo vya ualim km butimba ndo bora coz kwanza ndo vyuo maalum kwa hiyo elim hv vyuo vikuu wanaweka ili kuongeza idad ya wanavyuo pili vyuo vikuu vipo after money tatu vyuo vikuu vina wataalam wa degree ila vyuo vya ualim ni wataalam walosomea kitu unachoenda kujifunza nne vyuo vikuu vimejaa migogoro mbalimbali km vile kukosa boom,mikopo wakat kule ukishalipa ada umemaliza msos na kulala ni bure mwisho vyuo vikuu wanafundisha ili mradi ipite uelewa usielewe shaur lako NADHAN UMENISOMA BRO
Nimekuelewa mkuu
 
Back
Top Bottom