hawa kina Butiku, Warioba, Salim, Nyerere Family etc si ndo walipaswa kutoka kabisa CCM ili kuonesha wako serious na wamechoka na kusema bila kusikilizwa???
Mzungu yupo duniani kwa ajili ya kuongoza wajinga WAAFRIKA TU. Waafrika hatuwezi kujitawala wala hatuna akili hiyo.
Butiku,warioba,salimu ahmed salim wameleta mfumo wa katiba mpya huo maksudi kuimaliza magamba,na kweli wanakufa 2015 magamba hawana pakutokea kupitia katiba mpya wamekwisha