Sijui nani alipendekeza, lakini idea ya mkuu wa nchi kushiriki hivi ndiyo format ya documentaries za Royal Tour.1. Je, ni nani aliyeleta IDEA ya Royal Tour kwenye meza ya IKULU na ni nani aliyependekeza Rais wa nchi awe Tour Queen na kuzunguka na mwandishi wa habari kukamilisha zoezi hilo...
Tutamsaidia Mama kulirudisha hilo Jinamizi kaburini kwa marungu.Babu akiamka gafla anaweza mlamba vibao mama
Uzuri wa jf kila ukikaribia kukata tamaa na kutaka kukasirika kutokana na malundo ya threads na comments za wajinga wasiojua chochote lakini wenyewe wakijihisi ni mabonge ya wajuaji, basi unakutana na maelezo yaliyonyoka kama hivi.Sijui nni alipendekeza, lakini idea ya mkuu wa nchi kushiriki hivi ndiyo format ya doc umentaries za Royal Tour...
Absolutely jamaa yangu.Wabongo kutwa kulalamika
Hebu punguzeni malalamiko....
🤣🤣🤣🤣🤣Tufanye lipi ndgu yetu....
Tunakusikiliza
Ondoa kukamatwa mkono na yule mzungu! Lugha ya kibaguzi ikiwa na maana angekuwa mweusi lisingekuwa tatizo, ila hapo tatizo ni rangi ya mtu!1. Je, ni nani aliyeleta IDEA ya Royal Tour kwenye meza ya IKULU na ni nani aliyependekeza Rais wa nchi awe Tour Queen na kuzunguka na mwandishi wa habari kukamilisha zoezi hilo?
View attachment 2207936
Kuna Wizara ya Utalii ambayo jukumu lake kubwa ni kutangaza vivutio vya nchi, kitendo cha Rais kuingilia hili jukumu, nini tafsir yake ?
a. Rais hana majukumu ya msingi?
b. Nchi imepoteza muelekeo
c. Hatuna ajenda na njia mojawapo ya kuruhusu upigaji wa fedha kwa maana process zima na matumizi yake ya fedha haupo clear
View attachment 2207937
nchi inamatatizo mengi sana yanayohitaji attention ya Rais , nchi kukaa bila Rais takriban wiki 2 nzima inaleta tafsiri gani kwenye Financial Management and security state ya nchi ? Who leads the country behind the scene ?
View attachment 2207938
2. Rais kuwa Free na Kuingililika kirahisi na mwandishi wa habari na kundi lake na kuzunguka nae kama anazunguka na mtu wa kawaida inaleta tafsiri gani kwenye uimara na ulinzi wa nchi yetu ?
Je kulikuwa na ulazima gani rais kuwa Tour Queen ? Mbona tunawatu wenye ushawishi TZ wangeweza kutumika,Rais angeweza kuonekana kwenye Tour kipande kidogo tu ikiwa ni sehemu ya kuweka baraka zake, je hili lililotokea ni tafsiri kuwa nchi imepoteza agenda za msingi ?
Kwa namna ambavyo alikuwa akishikwa na kale kamwandishi kahabari, hii kama taifa inaleta tafsiri gani na heshima kwa taifa letu ?
View attachment 2207939
It was wrong idea kwa aliyependekeza rais kuwa Tour Queen , kuna kitu nyuma ya pazia hakipo sawa, let’s pay attention.... it is not just a royal tour
View attachment 2207940
It was wrong idea kwa Amiri Jeshi Mkuu wa nchi kukamatana mkono na yule mzungu kwa style ile; hata kama sio romantic but kwa culture zetu za kitanzania , that is a sign of inferiority complexly to the president, Unless kama angekuwa ni husband wake ....
Serikali ilishatangaza kifo cha JPM kilisababishwa na matatizo ya moyo aliyoishi nayo takribani kipindi chote cha uhai wake, kitendo cha mzungu ku elaborate ile claim kwamba JPM alikufa na COVID 19, ni matusi kwenye idara ya usalama wa taifa na ni matusi kwenye taasisi ya ikulu... such claim haikutakiwa kuwa ni sehemu ya mazungumzo ya Royal Tour ... its a shame !
Pamoja na misaada yao, mzungu hajawahi kuwa mtu mwema kwa black people
The whole Royal Tour is a big TIME behind the scene na ni jukumu letu watanzania ku pay attention;
View attachment 2207941
something is wrong kwenye huu utawala, something is not okay kwenye huu utawala .
Na je, tukiwa hatuna Rais utafanyaje! Sikuelewi.Angalia Toyal Tour Rwanda kisha uje kuleta mboyoyo zako. Mbona Kagame ameshiriki Royal Tour Rwanda na hakuna madhara yoyote yalitokea?.
Unalalamika Rais kutokuwepo nchini kwa 2 weeks... je akiugua for two weeks kama binadamu wa kawaida utafanyaje? Acheni hizo insecurities mama anaupiga mwingi.
Naheshimu mawazo yako but not necessarily. Nothing is wrong, huu sasa ndio mpango wa Mungu kwa nchi yetu!something is wrong kwenye huu utawala, something is not okay kwenye huu utawala .
Ni Tanzania pekee ukiwa madarakani hata kwa kupora ushindi unaitwa ni mpango wa Mungu.Naheshimu mawazo yako but not necessarily. Nothing is wrong, huu sasa ndio mpango wa Mungu kwa nchi yetu!
P.
Mungu ni chaka la kufichia mambo tu.Ni Tanzania pekee ukiwa madarakani hata kwa kupora ushindi unaitwa ni mpango wa Mungu.
Nahisi mungu wa Tanzania sio Mungu wa Mataifa mengine
Abdulhaman Kinana Makamu Mwenyekiti wa ccm ndio agent / lobbyist wa hawa waarabu wa Loliondo!! Nchi imeuzwa hii.
Na Sasa imeathiriwa Vita ya Urusi!Sekta ya Utalii iliathiriwa sana na ugonjwa wa UVIKO 19 kwahiyo ni idea nzuri.
Kweli?BAKWATA wamesema mwezi bado haujaonekana. Japo hapa kwetu Kasulu umeonekana
Filamu kama hii inayomuhusisha kiongozi wa nchi kama mshiriki imeshafanyika kwenye nchi kadhaa kama Rwanda (Kagame akihusika),1. Je, ni nani aliyeleta IDEA ya Royal Tour kwenye meza ya IKULU na ni nani aliyependekeza Rais wa nchi awe Tour Queen na kuzunguka na mwandishi wa habari kukamilisha zoezi hilo?
View attachment 2207936
Kuna Wizara ya Utalii ambayo jukumu lake kubwa ni kutangaza vivutio vya nchi, kitendo cha Rais kuingilia hili jukumu, nini tafsir yake ?
a. Rais hana majukumu ya msingi?
b. Nchi imepoteza muelekeo
c. Hatuna ajenda na njia mojawapo ya kuruhusu upigaji wa fedha kwa maana process zima na matumizi yake ya fedha haupo clear
View attachment 2207937
nchi inamatatizo mengi sana yanayohitaji attention ya Rais , nchi kukaa bila Rais takriban wiki 2 nzima inaleta tafsiri gani kwenye Financial Management and security state ya nchi ? Who leads the country behind the scene ?
View attachment 2207938
2. Rais kuwa Free na Kuingililika kirahisi na mwandishi wa habari na kundi lake na kuzunguka nae kama anazunguka na mtu wa kawaida inaleta tafsiri gani kwenye uimara na ulinzi wa nchi yetu ?
Je kulikuwa na ulazima gani rais kuwa Tour Queen ? Mbona tunawatu wenye ushawishi TZ wangeweza kutumika,Rais angeweza kuonekana kwenye Tour kipande kidogo tu ikiwa ni sehemu ya kuweka baraka zake, je hili lililotokea ni tafsiri kuwa nchi imepoteza agenda za msingi ?
Kwa namna ambavyo alikuwa akishikwa na kale kamwandishi kahabari, hii kama taifa inaleta tafsiri gani na heshima kwa taifa letu ?
View attachment 2207939
It was wrong idea kwa aliyependekeza rais kuwa Tour Queen , kuna kitu nyuma ya pazia hakipo sawa, let’s pay attention.... it is not just a royal tour
View attachment 2207940
It was wrong idea kwa Amiri Jeshi Mkuu wa nchi kukamatana mkono na yule mzungu kwa style ile; hata kama sio romantic but kwa culture zetu za kitanzania , that is a sign of inferiority complexly to the president, Unless kama angekuwa ni husband wake ....
Serikali ilishatangaza kifo cha JPM kilisababishwa na matatizo ya moyo aliyoishi nayo takribani kipindi chote cha uhai wake, kitendo cha mzungu ku elaborate ile claim kwamba JPM alikufa na COVID 19, ni matusi kwenye idara ya usalama wa taifa na ni matusi kwenye taasisi ya ikulu... such claim haikutakiwa kuwa ni sehemu ya mazungumzo ya Royal Tour ... its a shame !
Pamoja na misaada yao, mzungu hajawahi kuwa mtu mwema kwa black people
The whole Royal Tour is a big TIME behind the scene na ni jukumu letu watanzania ku pay attention;
View attachment 2207941
something is wrong kwenye huu utawala, something is not okay kwenye huu utawala .
Royal Tour ni idea ya mzungu na ililetwa na mzungu akisaidiwa na wazawa.1. Je, ni nani aliyeleta IDEA ya Royal Tour kwenye meza ya IKULU na ni nani aliyependekeza Rais wa nchi awe Tour Queen na kuzunguka na mwandishi wa habari kukamilisha zoezi hilo?
Royal Tour nzima (kuanzia field work, uchakataji na uzinduzi) haijatumia gharama zozote za bajeti yetu wala fedha zetu. Kila kitu kimelipiwa na wenye idea yao.Pamoja na misaada yao, mzungu hajawahi kuwa mtu mwema kwa black people
Tunashindwa kupay attention kwenye mambo ya msingi kabisa yenye manufaa kwa watu wetu, sasa haya ya Royal Tour yasiyoeleweka tutafanikiwaje? Je lile jumuiko haramu ndani ya bunge letu tumepay attention kweli? Na huko kwenye serikali za mitaa tumefanya nini kupinga yaliyofanyika? Ukishakubali kupokea au kufanya mambo ya ovyo wengine wanakuona uchochoro wa ovyo ovyo kupitishia mengi ya ovyo ovyo!The whole Royal Tour is a big TIME behind the scene na ni jukumu letu watanzania ku pay attention;
Tulipopinga Wamasai kuondolewa kwa dharura kwenye eneo la Ngorongoro wengi walihisi kama tunaipinga awamu ya 6 na tunakwamisha juhudi za SSH.
Zitakuja kujengwa hoteli za magorofa kwenye hifadhi zetu zikilaza watalii na kutoa fursa nyeti za ajira kwa wageni huku sisi tukiachiwa uchafuzi wa mazingira, kuongoza wageni, kuhudumia chakula na kutandika vitanda kwa ujira wa kitumwa!something is wrong kwenye huu utawala, something is not okay kwenye huu utawala .
Watu kama nyie ni wakukamatwa kwa kueneza uzushiTunaambiwa waarabu wa loliondo ni miongoni mwa waluochangia
Kumbuka hawa waarabu ndio wanataka wamegewe nchi kule ngororongoro