Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,609
- 8,298
Serikali na wahusika hii sasa ni aibu....inakuwaje mkose vivuko vya uhakika mpaka kuwachelewesha watu kiasi hiki? Tokea SAA tano asubui hadi sasa (15:55 hrs) jioni bado abiria hatujavuka?
Je muda na gharama zingine mtatulipa? Kwanini mtuingize kwenye gharama za ziada kwa uzembe wenu
Waziri wa uchukuzi na TEMESA mulikeni utendaji wa kigongo ferry....nadhani kuna jambo sio bure
Je muda na gharama zingine mtatulipa? Kwanini mtuingize kwenye gharama za ziada kwa uzembe wenu
Waziri wa uchukuzi na TEMESA mulikeni utendaji wa kigongo ferry....nadhani kuna jambo sio bure