Tripitaka
Senior Member
- Nov 30, 2019
- 166
- 302
Habarini wakuu!
Niende moja kwa moja kwenye mada, mimi ni kijana mtanzania nina wazo la biashara la kufungua kampuni ya usafi.
Niko Mwanza jiji nahitaji mtu wa kushirikiana nae kufanya naye biashara tajwa hapo juu, nimejifunza vya kutosha na nina mtaji kiasi.
Nipo tayari lakini kwa sasa nahitaji partner kama munavyojua biashara ya kampuni lazima ianzie watu wawili.
Karibu kijana mwenzangu uliye tayari ni inbox tu.
Niende moja kwa moja kwenye mada, mimi ni kijana mtanzania nina wazo la biashara la kufungua kampuni ya usafi.
Niko Mwanza jiji nahitaji mtu wa kushirikiana nae kufanya naye biashara tajwa hapo juu, nimejifunza vya kutosha na nina mtaji kiasi.
Nipo tayari lakini kwa sasa nahitaji partner kama munavyojua biashara ya kampuni lazima ianzie watu wawili.
Karibu kijana mwenzangu uliye tayari ni inbox tu.